ESTER: BABA MZAZI ALINIKATAZA KUIGIZA
![](http://api.ning.com:80/files/5W1fGMD3XQRJCfu69yf4lwKDpYPQ-SpV*gLgRihahpgcE5Cw92SKmr9N2V0Ud0QTtL8U3OnVd4V5jDiUEd1LptFBkkhdc*5S/11.jpg)
LEO hii kwenye Live Chumba cha Habari ya Global Publishers tunaye msanii chipukizi wa filamu za Kibongo, Ester Kiama ambaye pia ni mjasiriamali anayejishughulisha na biashara mbalimbali ikiwemo ya kuuza mkaa, pikipiki na magari. Msanii chipukizi wa filamu za Kibongo, Ester Kiama akisisitiza jambo. Katika mahojiano na safu hii huku akirekodiwa na timu nzima ya Global TV Online , Ester alisema hapendi… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El*55dTy0MioSJoUxV9DIPODaG3zzFksfYJAQxJ6kcwfkqfLxoRLE-NCS9w7D7ZeH5KV4D6AQK*OeO5B54ByHIfu/Back.jpg?width=650)
BABA MZAZI KANIBAKA MIEZI 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAylIerRM6wM20WzEcb5RR-INZ5L9j-bnXhvHsWcBB8uCKPYN9OKVzzEOwPO*Qhk77l5FJWWxGF-LsPOxJI1EvY/BACKUWAZI.jpg)
BABA MZAZI AKESHA AKIBAKA WANAYE!
11 years ago
Habarileo08 Aug
Baba mzazi ampa ujauzito mwanawe
MKAZI wa Kijiji cha Bwekela wilayani Igunga mkoani Tabora, Kashinje Shima, anatafutwa na Uongozi wa kijiji hicho, kwa kumpa ujauzito mwanawe wa kumzaa mwenye umri wa miaka 17.
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Mbaroni akishukiwa mauaji ya baba mzazi
JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Issa Sadick (49), Mkazi wa Itongo tarafa ya Nshamba Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za mauaji ya baba yake mzazi na mama yake wa...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Baba mzazi adaiwa kumchinja mwanaye
10 years ago
Bongo525 Nov
P-Square waondokewa na baba yao mzazi Mr. Okoye
10 years ago
Mtanzania05 May
Babu Tale afiwa na baba yake mzazi
BABA mzazi wa Babu Tale ambaye ni meneja wa Abdul Nassib ‘Diamond’, amefariki dunia mchana wa jana Manzese jijini Dar es Salaam.
Kifo hicho kimetokea ikiwa ni miezi kadhaa tu tangu kaka wa Babu Tale, Abdu Bonge kufariki dunia.
Msanii wa kundi hilo, Madee alithibitisha kutokea kwa kifo hicho huku akieleza kwamba msiba utakuwa nyumbani kwao Manzese ambako palifanyika msiba wa Abdu Bonge.
“Ni kweli baba wa Abdu Bonge amefariki leo (jana) na msiba upo Manzese jijini Dar es Salaam ila chanzo cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzA0axHNXa1QL0MxF0lKc0r3*4UZ*aFlO30mzKI0cOd5544TiZf2wd5FdRTxeYlPy7llI4qfKI2loEFBPKHDU9wS/babtale.png)
BAB TALE AFIWA NA BABA YAKE MZAZI
9 years ago
Bongo526 Nov
Tanzia: Bou Nako afiwa na baba yake mzazi
![11939309_893375544110757_1924339186_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11939309_893375544110757_1924339186_n-300x194.jpg)
Rapa wa kundi la Nako 2 Nako, Bou Nako amefiwa na baba yake mzazi aliyekuwa akisumbuliwa na homa ya mapafu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Bou Nako alisema mazishi yatafanyika kesho nyumbani kwao Bukoba.
“Nipo katika wakati mgumu lakini namuomba Mungu anipe wepesi. Kusema ukweli baba aliumwa sana kama miezi mitatu hivi na nadhani ni mapafu yalikuwa yanamsumbua,” amesema.
“Sasa hivi hapa Dar es Salaam tupo katika maandalizi ya kwenda Bukoba kwaajili ya...