Tanzia: Baba yake mzazi na Belle 9 afariki dunia kwa kugongwa na boda boda
Abedinego Damian aka Belle 9 amepata msiba mzito.
Baba yake mzazi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Meneja wake, Jahz Zamba, ameiambia Bongo5 kuwa Mzee Damian amefariki dunia baada ya kugongwa na boda boda iliyokuwa kwenye mwendo mkali huko mjini Morogoro alikokuwa anaishi.
Alivunja mguu mmoja pale pale na kujeruhiwa vibaya kabla ya kupelekwa hospitali. Dereva wa boda boda naye ameumia vibaya ikiwemo kuvunjika taya na kujeruhiwa kichwa. Jahz amesema baada ya Mzee Damian kupelekwa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBoda Boda wa Ruvuma Wafurahia Masta Boda
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ptzhMUtU3fg/XpnNiGqxJ_I/AAAAAAALnQs/HrwaXtaXOtYKyNRUDJzFkDaxFzMOjyPcQCLcBGAsYHQ/s72-c/58b180c7-1e13-4604-8dba-e94eb48bca84.jpg)
TANZIA: BABA MZAZI WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, GEORGE SIMBACHAWENE AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ptzhMUtU3fg/XpnNiGqxJ_I/AAAAAAALnQs/HrwaXtaXOtYKyNRUDJzFkDaxFzMOjyPcQCLcBGAsYHQ/s640/58b180c7-1e13-4604-8dba-e94eb48bca84.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akizungumza na Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro, wakati Mkuu huyo wa Jeshi alipoenda kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Waziri huyo, marehemu Boniface Simbachawene Mwataguluvala, Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, leo Aprili 17, 2020. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2-3-scaled.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eXbCvVT3TbQ/UwSqpikt11I/AAAAAAAFOBA/MXRdLZggXCs/s72-c/unnamed+(91).jpg)
Timka na Boda Boda yaacha Neema kwa Watanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-eXbCvVT3TbQ/UwSqpikt11I/AAAAAAAFOBA/MXRdLZggXCs/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hpd3NKjAzqE/UwSqp1UA3rI/AAAAAAAFOBI/ZzjLimCTw-Y/s1600/unnamed+(92).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68w04I4TPrbk6LpLatHqwLPNlSvHhaDa5OggxvD0wN2tMhqMy0VDiv--O4Ph*lS*5USks9fuMZlSDwe3eyDDcghH/breakingnews.gif)
TANZIA: BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE SYKES AFARIKI DUNIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LtNxPZGPDQQ/Xr91bmm0W2I/AAAAAAALqbA/5Q4evDonlJUwl6stcfpz2gJx214tp5CWACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE YATOA MSAADA WA BARAKO 1000 KWA WAFANYABIASHARA WADOGO WADOGO PAMOJA NA WAENDESHA BODA BODA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LtNxPZGPDQQ/Xr91bmm0W2I/AAAAAAALqbA/5Q4evDonlJUwl6stcfpz2gJx214tp5CWACLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Kutokana na kuenea kwa ungonjwa wa COVID 19 Chama Cha Mapinduzi ( CCM) wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kimetoa msaada wa barakoa elfu moja kwa wafanyabiashara ndogondogo pamoja na vituo vya bodaboda vilivyopo maeneo ya mjini.
Akizungumza katika zoezi hilo la ugawaji Mwenyekiti wa vijana wa chama hicho ambaye pia ni mjumbe wa kamati ya siasa na wilaya Theopista Mhagama amesema kuwa wameamua kugawa barakoa hizo katika makundi hayo kwakuwa yanamuingiliano mkubwa wa...
11 years ago
MichuziMARUFUKU BODA BODA NA BAJAJI ZA ABIRIA KUVUKA MWENGE KWENDA POSTA
Kwa mujibu wa Msemaji na Muongozaji wa Oparesheni hiyo ambaye hakutaka kutajwa jina lake alisema kwamba wameamua kufanya hivyo...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Msindai awatangazia neema mama ntilie, machinga, waendesha boda boda
Mgombe Ubunge wa Jimbo la Singida Mjini (CHADEMA) Mgana Msindai, akizungumza na wafanyabiashara wa soko kuu mjini Singida wakati wa Mkutano wa kampeni kuomba ridhaa ya wananchi kumchagua kuwa Mbunge ili kuondoa kero ndogo ndogo za kutozwa ushuru kwa wamachinga na mama ntilie (PICHA NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo, Singida
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Singida Mjini (CHADEMA ) Mgana Msindai ameahidi kuondoa kero na kodi ndogondogo wanazotozwa wafanyabiashara wadogo wakiwemo mama...
9 years ago
TheCitizen18 Oct
PROFILE : Boda boda operator by day, university student by night
10 years ago
VijimamboBODA BODA MBEYA WATANGAZA MGOMO WA KUTOBADILISHA NAMBA ZA PIKIPIKI
Mabango yakafuata na kuanza kusema kama yanavyosomeka hapo chini.