Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzia: Baba yake mzazi na Belle 9 afariki dunia kwa kugongwa na boda boda

Abedinego Damian aka Belle 9 amepata msiba mzito.

Baba yake mzazi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Meneja wake, Jahz Zamba, ameiambia Bongo5 kuwa Mzee Damian amefariki dunia baada ya kugongwa na boda boda iliyokuwa kwenye mwendo mkali huko mjini Morogoro alikokuwa anaishi.

Alivunja mguu mmoja pale pale na kujeruhiwa vibaya kabla ya kupelekwa hospitali. Dereva wa boda boda naye ameumia vibaya ikiwemo kuvunjika taya na kujeruhiwa kichwa. Jahz amesema baada ya Mzee Damian kupelekwa...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Boda Boda wa Ruvuma Wafurahia Masta Boda

 Mwendesha Boda boda Nissa Mkimwa akiwa amempakia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu - Jenista Mhagama wakati wa uzinduzi wa huduma ya NMB Masta Boda iliyofanyika kwa Mkoa wa Ruvuma Peramiho wilayani Songea juzi. Waliosimama kutoka kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Songea – Pololet Mgema, Meneja wa NMB Kanda ya Kusini – Janeth Shango, Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB – Benedicto Baragomwa na Meneja wa NMB Songea – Daniel Zake. Waziri wa...

 

5 years ago

Michuzi

TANZIA: BABA MZAZI WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, GEORGE SIMBACHAWENE AFARIKI DUNIA


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akizungumza na Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro, wakati Mkuu huyo wa Jeshi alipoenda kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Waziri huyo, marehemu Boniface Simbachawene Mwataguluvala, Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, leo Aprili 17, 2020.  Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati), akimsikiliza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Zubery...

 

11 years ago

Michuzi

Timka na Boda Boda yaacha Neema kwa Watanzania

 Mshindi wa promosheni ya Timka na bodaboda Bw. Ramadhani Abdallah akipiga kiki pikipiki yake tayari kuondoka nayo mara baada ya kukabidhiwa na Meneja Uhusiano wa Nje Salum Mwalim(kulia) katika tukio lililofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam.

 Meneja  uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim akiongea na washindi wa promosheni ya Timka na bodaboda iliyomalizka hivi karibuni wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika Makako Mkauu ya Vodacom eneo la Mlimani City jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

TANZIA: BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE SYKES AFARIKI DUNIA

Mzee Sykes enzi za uhai wake. Dully akiwa na baba yake mzazi, Mzee Sykes enzi za uhai wake. Baba…

 

5 years ago

Michuzi

CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE YATOA MSAADA WA BARAKO 1000 KWA WAFANYABIASHARA WADOGO WADOGO PAMOJA NA WAENDESHA BODA BODA

Na Shukrani Kawogo, Njombe

Kutokana na kuenea kwa ungonjwa wa COVID 19 Chama Cha Mapinduzi ( CCM) wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kimetoa msaada wa barakoa elfu moja kwa wafanyabiashara ndogondogo pamoja na vituo vya bodaboda vilivyopo maeneo ya mjini.

Akizungumza katika zoezi hilo la ugawaji Mwenyekiti wa vijana wa chama hicho ambaye pia ni mjumbe wa kamati ya siasa na wilaya Theopista Mhagama amesema kuwa wameamua kugawa barakoa hizo katika makundi hayo kwakuwa yanamuingiliano mkubwa wa...

 

11 years ago

Michuzi

MARUFUKU BODA BODA NA BAJAJI ZA ABIRIA KUVUKA MWENGE KWENDA POSTA

Oparesheni Nzito ya kuzuia Bodaboda na Bajaji zisifanye safari zake  kutoka Mwenge na maeneo mengine kuelekea mjini Posta imechukua sura mpya leo baada ya Askari wa Usalama wa Barabarani kuanza kukamata Bodaboda na Bajaji zote zinazovuka Mwenge kuelekea Posta, Zoezi hilo ambalo limefanyika Mwenge Mataa Jijini Dar limeendelea kufanyika na kufamikiwa kuwanasa wengi.
Kwa mujibu wa Msemaji na Muongozaji wa Oparesheni hiyo ambaye hakutaka kutajwa jina lake alisema kwamba wameamua kufanya hivyo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Msindai awatangazia neema mama ntilie, machinga, waendesha boda boda

msindai

Mgombe Ubunge wa Jimbo la Singida Mjini (CHADEMA) Mgana Msindai, akizungumza na wafanyabiashara wa soko kuu mjini Singida wakati wa Mkutano wa kampeni kuomba ridhaa ya wananchi kumchagua kuwa Mbunge ili kuondoa kero ndogo ndogo za kutozwa ushuru kwa wamachinga na mama ntilie (PICHA NA HILLARY SHOO).

Na Hillary Shoo, Singida

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Singida Mjini (CHADEMA ) Mgana Msindai ameahidi kuondoa kero na kodi ndogondogo wanazotozwa wafanyabiashara wadogo wakiwemo mama...

 

9 years ago

TheCitizen

PROFILE : Boda boda operator by day, university student by night

Julius Simiyu was once a watchman, today, he is what we call a boda boda operator – he ferries people to and from their destinations to earn a living. In a few years’ time though, Simiyu hopes that he will be in a classroom somewhere, teaching.

 

10 years ago

Vijimambo

BODA BODA MBEYA WATANGAZA MGOMO WA KUTOBADILISHA NAMBA ZA PIKIPIKI


MWENYEKITI wa chama cha Bodaboda mkoa wa Mbeya, VICENT MWASHOMA.KATIBU wa Bodaboda mkoa wa Mbeya, MSUMBA MDESA, akitoa tamko kwa niaba ya waendesha Boda boda mkoa wa Mbeya.
Mabango yakafuata na kuanza kusema kama yanavyosomeka hapo chini. BAADA ya mabango na tamko, wakaonesha wamekubaliana, kisha yakafuata makofi kutoka kwa viongozi wengine ambao walikusanyika leo katika ukumbi wa Coffee Garden Jijini Mbeya. Baadhi ya viongozi kutoka wilaya zote za mkoa wa Mbeya, wakisikiliza wakati viongozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani