KICHANGA KILICHOOPOLEWA CHOONI TANGA CHATIMIZA MWEZI MMOJA
Walezi wa kwaya ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Francis Mihayo (kushoto) na Sylvester Tyienyi wakiwa na kichanga kilichoopolewa chooni mkoani Tanga ambacho kimetimiza mwezi mmoja sasa. Mlezi wa kwaya ya Kanisa Katoliki la Mtakatifu…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Mar
Mwanamke atupa kichanga chooni
WATOTO wawili wachanga wamekufa katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani hapa, likiwemo la mmoja kutupwa chooni na mama mzazi mara ya baada ya kuzaliwa.
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Baba mzazi ampiga kichanga cha mwezi kwa mchi kichwani, ni katika ugomvi
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lhz2s8XbwFs/VSjxnEDvgmI/AAAAAAAAAJk/vciDW0POX5A/s72-c/mtoto1.jpg)
UKATILI..!! KICHANGA CHA MWAKA MMOJA CHAKUTWA KIMETUPWA JALALANI HUKO WILAYANI KAHAMA MKOANI SHINYANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lhz2s8XbwFs/VSjxnEDvgmI/AAAAAAAAAJk/vciDW0POX5A/s640/mtoto1.jpg)
Wananchi wa mtaa wa nyahanga mjini Kahama wakiangalia mwili wa kichanga hicho kilichowekwa kwenye mfuko.Mwili wa mtoto mwenye umri wa siku 1 umekotwa ukiwa umetupwa katika eneo la dampo la shule ya msingi Nyahanga wilayani Kahama mkoani Shinyanga.Mashuhuda watukio hilo wamesema kuwa mwili wa mtoto huyo umegunduliwa jana na wanafunzi wa shule ya msingi Nyahanga wakati wanaenda kutupa takataka kwenye dampo hilo.Akizungumzia tukio hilo afisa mtendaji wa kata ya Nyahanga Nambo Ntaki amesema kuwa...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Chamberlain kukaa nje mwezi mmoja
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mwezi mmoja wa uongozi wa Magufuli Tanzania
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Mwezi mmoja toka mauaji ya Baga Nigeria
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b0oGfXHtjzM/Vo0WkstDS2I/AAAAAAAIQ2Y/bvLFiaMwHMI/s72-c/3_28_o.jpg)
TRA YAONGEZA MWEZI MMOJA USAJILI WA PIKIPIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0oGfXHtjzM/Vo0WkstDS2I/AAAAAAAIQ2Y/bvLFiaMwHMI/s320/3_28_o.jpg)
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema imeongeza muda kwa usajili wa vyombo vya usafiri vya Pikipiki za magurudumu mawili na matatu mpaka Februari Mosi mwaka 2016.
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari katika kikao chake cha kutoa taarifa kwa umma juu ya ukusanyaji wa kodi, Kaimu Kamishna Mkuu amesema wameamua kuongeza muda wa zoezi la usajili wa pikipiki ili kuiwapa nafasi wale...
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Mwakyembe apigwa mwezi mmoja kutoa majibu
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa mjini Mtwara katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mashujaa mjini humo akihitimisha ziara yake ya siku 16 aliyoifanya katika mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali kwa kushirikiana na wananchi wenyewe na kuhimiza uhai wa chama cha Mapinduzi CCM.
Katika ziara hiyo Katibu mkuu huyo aliongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi,...
10 years ago
GPLAMINI APATA PIGO LA TATU NDANI YA MWEZI MMOJA