AMINI APATA PIGO LA TATU NDANI YA MWEZI MMOJA
Staa wa Bongo Fleva, Amini Mwinyimkuu. Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya STAA wa Bongo Fleva, Amini Mwinyimkuu amepata pigo lingine la tatu kwa kufiwa na dada yake aitwaye Doto nyumbani kwao, Mwananyamala jijini Dar. Akizungumza na paparazi wetu kwa masikitiko, Amini alisema ameumia sana kupatwa na msiba huo wa tatu lakini anamshukuru Mungu kwani hawezi kuikosoa kazi yake.“Siwezi kuingilia kazi ya Mungu, hawa ndugu...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3t8vJLY5LPo/XpwQEibzh-I/AAAAAAALnY8/cFK33MYHAv0v3y82jbjpfcjbbUQ7oA0nACLcBGAsYHQ/s72-c/1cd4cb78-7412-4446-a5a8-1138e0a516d6-768x576.jpg)
DKT KALEMANI AAGIZA VIJIJI 11 SINGIDA MASHARIKI KUWASHWA UMEME NDANI YA MWEZI MMOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3t8vJLY5LPo/XpwQEibzh-I/AAAAAAALnY8/cFK33MYHAv0v3y82jbjpfcjbbUQ7oA0nACLcBGAsYHQ/s640/1cd4cb78-7412-4446-a5a8-1138e0a516d6-768x576.jpg)
Waziri wa Nishati Medard Kalemani akizungumza kabla ya kuwasha umeme katika vijiji vya Matare na Nkuhi vilivyopo jimbo la Singida Mashariki,kulia kwake ni Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/984c224d-7b25-4de3-8091-fb5561aea6f0-1024x683.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Miraji Mtaturu akizungumza katika ziara ya Waziri wa Nishati Medard Kalemani jimboni humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/8b9b3d40-e113-4cfe-9e5f-daffa18f1878-1024x683.jpg)
Waziri wa Nishati Dkt.Medard Kalemani akitoa maagizo kwa wakandarasi wa umeme akiwa katika ziara wilayani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K2VU0KDVTWE/XkWj18g6DvI/AAAAAAALdUI/HLdOghcw0pEt27fnerprJN89M2xBnpuZwCLcBGAsYHQ/s72-c/0586e112-8f7a-4e02-95b9-7c4822401e48.jpg)
Mweli afanya ziara kukagua ujenzi wa mabweni Sekondari ya Jangwani, Aagiza kukamilika ndani ya mwezi mmoja
Mweli ameonyesha kufurahishwa na hali hiyo alipokwenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa mabweni hayo pamoja na miundombinu mingine inayoendelea kukarabatiwa katika shule hiyo.
Akizungumza katika ziara hiyo Mweli amesema mabweni hayo mawili yatakua na uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 kila moja hivyo wanafunzi 160 wakike...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjbnD4pJFdFQUz6qRKmm0jS9au7LRN1KWl7SAm5N91hwjnb9rT1BoaiQts9Y0O5iKB7D3GB0c3pojdhd360eBggFI/DEVOTHA.jpg?width=650)
DEVOTHA APATA PIGO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH3Syy1ULw8w*cxJ9OthVyUwzeykpiQ5Z*78VYAOR3tL0wRc0sD9*k6TYw9OFh9Bvb7HYX3UV0dUvSsA4INZTNIY/2otilia.jpg?width=650)
OTILIA APATA PIGO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnT5wfGNAfNbIhP-m*pIM9BFFvt7f-YlC7v79YAozKeI4zkv2BmoAZ5wmd*K*-WUYOtyHR12JR3SJXjA*QhVj*8JU32pzTL4/IMG_4198.jpg)
KAJALA APATA PIGO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCme3focclntpAKIStUsgD5u0lbrAw*bRYTYHPM05v6prvNOcvaOq9JxJ*0AOe7FriatpSAI99kXKCv1HEpnHrmh/4.jpg?width=650)
SARA MVUNGI APATA PIGO
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Serena William apata pigo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD51-Cc9yyfDn2ov6-4rSrc5fahHHyP3f8ykVKiDsQH5Vjkzs5RW3UALG7JTRfjQWJON4NUrskX*v2-ypwZHb9QLH3/Lulu.gif?width=650)
LULU APATA PIGO LA KUFIWA
10 years ago
Bongo Movies06 Aug
Lulu Apata Pigo, Afiwa na Bibi Yake
MSIBA! Staa mwenye umri mdogo anayekimbiza katika filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amepata pigo baada ya kufiwa na bibi yake mzaa mama, Leonadina Mboneko, aliyefariki dunia juzi asubuhi katika Hospitali ya Masana, iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Amani mama mzazi wa Lulu, Lucresia Karugila alisema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu jambo lililomlazimu kumtoa nyumbani kwake Bukoba na kumleta jijini kwa ajili ya kupata...