Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SARA MVUNGI APATA PIGO

NA GLADNESS MALLYA MWIGIZAJI na staa wa nyimbo za Injili Bongo, Sara Mvungi amepata pigo kwa kuondokewa na mdogo wake, Maria katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga. Mwigizaji na staa wa nyimbo za Injili Bongo, Sara Mvungi. Akizungumza na paparazi wetu, Sara alisema mdogo wake aliyekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua na homa kali, alilazwa katika hospitali hiyo hadi alipopatwa na umauti usiku wa kuamkia Jumatatu, Juni 16,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TUMUOMBEE SARA MVUNGI!

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
Maombi! Staa wa sinema za Kibongo ambaye pia ni mwimba Injili, Sara Mvungi anateseka hospitalini baada ya kusumbuliwa mara kwa mara na ugonjwa wa nimonia (pneumonia)  ambao umekuwa ukimkosesha amani na muda wa kufanya kazi za kimaendeleo. Staa wa sinema za Kibongo ambaye pia ni mwimba Injili, Sara Mvungi akiwa Hospitali ya TMJ. Akizungumza kwa taabu na Ijumaa Wikienda akiwa amelazwa...

 

10 years ago

GPL

SARA MVUNGI AUMWA ALAZWA

Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Sara Mvungi akiwa katika Hospitali ya TMJ, Dar. Sara Mvungi akiwa na Bahati Bukuku alipomtembelea katika hospitali hiyo. (PICHA NA…

 

11 years ago

GPL

SARA MVUNGI AFANYIWA KITU MBAYA

Stori: Gladness Mallya
MWIMBAJI wa  nyimbo za injili nchini, Sara Mvungi amefanyiwa kitu mbaya kwa kukombwa vitu kibao kwenye bodaboda. Sara Mvungi. Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi jioni maeneo ya Kwanyerere, Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo Sara alikuwa kwenye bodaboda ghafla ilitokea nyingine ikiwa kwenye mwendo wa kasi na wahusika walikuwa wawili ambao walimnyang’anya pochi. Akizungumza kwa...

 

10 years ago

GPL

SARA MVUNGI: NINA MIAKA KUMI SIJAFANYA ZINAA

Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu aliyejikita kumtumikia    Bwana kwa nyimbo za Injili, Sara Mvungi amesema kuwa, amechoshwa na upweke wa muda mrefu kwa kuishi bila mwanaume kwa takriban miaka 10 kwa kuwa anasubiri Mungu amshushie mume mwema. Msanii wa filamu aliyejikita kumtumikia Bwana kwa nyimbo za Injili, Sara Mvungi. Akitoa la rohoni kwa paparazi wetu, Sara alisema hajajihusisha na masuala ya mapenzi kwa...

 

11 years ago

GPL

SARA APATA GONJWA LA AJABU

Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa sinena za Kibongo ambaye amejikita kwenye nyimbo za Injili, Sara Mvungi amejikuta kwenye wakati mgumu kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya tumbo bila kujua chanzo wala ugonjwa husika. Sara Mvungi. Akizungumza na paparazi wetu, Sara alisema katika hali ya kutaharuki tatizo hilo lilipoanza alihisi labda anasumbuliwa na ugonjwa wa ‘typhoid’ lakini alipokwenda hospitali hakukutwa na...

 

9 years ago

GPL

KAJALA APATA PIGO

Staa mwenye mvuto ndani ya Bongo Muvi, Kajala Masanja. Imelda mtema POLE! Staa mwenye mvuto ndani ya Bongo Muvi, Kajala Masanja hivi karibuni alipata pigo zito baada ya kufiwa na bibi yake (mzaa mama) aliyekuwa akiuugua kwa muda mrefu huko mkoani Songea. Akizungumza na Ijumaa Wikienda akiwa msibani, Kajala alisema amempoteza mtu muhimu katika maisha yake kwani bibi yake huyo alikuwa akimpenda, kumlea na kumshauri mambo muhimu...

 

11 years ago

GPL

OTILIA APATA PIGO

Stori:  Gladness Mallya
MNENGUAJI wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface amepata pigo baada ya kufiwa na mamamkwe wake aliyejulikana kwa jina la Khadija Salum. Otilia Boniface. Akizungumza kwa masikitiko, Otilia alisema ameumizwa na kifo cha mama huyo kwani aliugua na kupona lakini kilichosababisha kifo chake ni ajali ambapo aligongwa na gari maeneo ya Magomeni, Dar hivi karibuni akapasuka kichwa na kufa papo hapo akiwa...

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA APATA PIGO

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu aliye pia katibu msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devotha Mbaga amepata pigo la baa yake kuteketea kabisa kwa moto. Msanii wa filamu aliye pia katibu msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devotha Mbaga Akizungumza kwa njia ya simu Devotha alisema wakati ajali hiyo inatokea hakuwepo kwani yupo nje ya Jiji la Dar ambapo alipata taarifa kutoka kwa wafanyakazi wake kwamba baa yake hiyo iliyopo maeneo ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Serena William apata pigo

Bingwa wa mchezo wa tenisi upande wa wanawake Serena Williams amepata pigo kubwa katika mashindano ya US Open baada ya kushindwa kwa seti 2-6 6-4 6-4 na Muitaliano Roberta Vinci katika nusu fainali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani