SARA MVUNGI AFANYIWA KITU MBAYA
![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-0cVXC43YP3-UOa1aItHmQa9ofAfUmJd0pk4P6Q6P3moC2iJ00frPtSaTPyyX-eFDRvlGy8YpPPclMpykKgmI*k/SARA.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, Sara Mvungi amefanyiwa kitu mbaya kwa kukombwa vitu kibao kwenye bodaboda. Sara Mvungi. Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi jioni maeneo ya Kwanyerere, Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo Sara alikuwa kwenye bodaboda ghafla ilitokea nyingine ikiwa kwenye mwendo wa kasi na wahusika walikuwa wawili ambao walimnyang’anya pochi. Akizungumza kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QFZtM12iNiA5Zh9gxST4p5MM5hopoD4HN0Ea8aedWTrj9G-74mmVAxM*pqfTnMxsY-dK390sBmH0IDNeGUfytK2atKs82yMN/IMG20150304WA0005.jpg?width=650)
MREMBO AFANYIWA KITU MBAYA
Mrembo huyo akiwa kwenye gari. Shani Ramadhani
MREMBO mmoja ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvuliwa nguo kisha kupigwa na madereva bodaboda. Tukio hilo lililovuta umati wa watu lilitokea juzikati maeneo ya Sinza Makaburini, jijini Dar wakati mrembo huyo akiwa na mpenzi wake ikidaiwa kuwa walitokea katika nyumba ya kulala wageni. Imeelezwa kuwa, mpenzi wa mrembo huyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLtNTwfA9MS2B7-8rLVWSU9TGxC4Y3pDVtN5qLWSPPCTgKvp3r1dHo-yEUFq9fhJg3RNQtK-P*3IXkDLaEnJIVL/GHNH.jpg)
NISHA AFANYIWA KITU MBAYA NA VIBAKA
Gladness Mallya
MWANADADA anayefanya vizuri kunako gemu la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvamiwa na vibaka ambao walivunja gari lake na kuchukua vifaa mbalimbali na fedha dola elfu moja za Marekani sawa na shilingi 1,900,000 za Kitanzania. Mwanadada anayefanya vizuri kunako gemu la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akielezea tukio hilo, Nisha alisema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpxo4DI5pn72cjfQTyUiYMbG5COY*pYuzDQzoxuVMovEgsm9tS73Y2BNL*tEh2AmmiIqYiNifc8wZc58iSbKRq3F/mwanamuziki.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI FM ACADEMIA AFANYIWA KITU MBAYA
Na Shakoor Jongo
DUNIA kweli haina huruma! Kitendo alichofanyiwa mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia ya jijini Dar anayejulikana kwa jina moja la Flora alfajiri ya kuamkia Desemba 8, mwaka huu ni kibaya katika jamii ya Kitanzania. Flora akiwa hajitambui. Flora akiwa amepata kinywaji ili kuchangamsha mwili wake alijikuta akipigwa na vijana wawili wanaofanya kazi ya kuendesha Bajaj akiwa amewakodi kwa ajili ya kurudi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0pPONW5Yrdgvb029hOzCDJvaruqcJ7ZKmnNg3EVuK60YH7PRzdHg8qmY0tURKQ7DUJkxTfcrunLwl*lNqb5Atv/aisha.jpg)
AISHA MADINDA AFANYIWA KITU MBAYA UARABUNI
Stori: Musa Mateja
MNENGUAJI wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani Mbegu maarufu kama ‘Aisha Madinda’, hivi karibuni anadaiwa kufanyiwa kitu mbaya baada ya kupokonywa pasipoti na simu zake kisha kubadilishiwa kazi aliyokusudia kuifanya na kufanywa hausigeli. Mnenguaji wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5D8Jlb4rl0K23iAvr1fJHSRbsKaW6Sv9KqFIVXvBWuCrviMsl71JrN0CaOKNwg0x5MeBCm5HeUAueub*B9zx8Co/sara.jpg)
TUMUOMBEE SARA MVUNGI!
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
Maombi! Staa wa sinema za Kibongo ambaye pia ni mwimba Injili, Sara Mvungi anateseka hospitalini baada ya kusumbuliwa mara kwa mara na ugonjwa wa nimonia (pneumonia)Â ambao umekuwa ukimkosesha amani na muda wa kufanya kazi za kimaendeleo. Staa wa sinema za Kibongo ambaye pia ni mwimba Injili, Sara Mvungi akiwa Hospitali ya TMJ. Akizungumza kwa taabu na Ijumaa Wikienda akiwa amelazwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0TmmkPFgzIMRUtPX6iuOqvJbs7j4gCeAfQLOuAMNa7UyB-yXyRoE4pHX7S0kouMwQMafqKPr6zyRBv01AJR5P*bem/IMG20141107WA0015.jpg)
SARA MVUNGI AUMWA ALAZWA
Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Sara Mvungi akiwa katika Hospitali ya TMJ, Dar. Sara Mvungi akiwa na Bahati Bukuku alipomtembelea katika hospitali hiyo. (PICHA NA…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCme3focclntpAKIStUsgD5u0lbrAw*bRYTYHPM05v6prvNOcvaOq9JxJ*0AOe7FriatpSAI99kXKCv1HEpnHrmh/4.jpg?width=650)
SARA MVUNGI APATA PIGO
NA GLADNESS MALLYA MWIGIZAJI na staa wa nyimbo za Injili Bongo, Sara Mvungi amepata pigo kwa kuondokewa na mdogo wake, Maria katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga. Mwigizaji na staa wa nyimbo za Injili Bongo, Sara Mvungi. Akizungumza na paparazi wetu, Sara alisema mdogo wake aliyekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua na homa kali, alilazwa katika hospitali hiyo hadi alipopatwa na umauti usiku wa kuamkia Jumatatu, Juni 16,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0nMfYfkUNC2JXfveXaQNpemxePX8bMraLnP2gPJPRyjk7TxrY6b0vp5wPKFpBTse8SgBpsfYZ6yt5PH8Dj4HE0x/saramvungi.jpg)
SARA MVUNGI: NINA MIAKA KUMI SIJAFANYA ZINAA
Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu aliyejikita kumtumikia   Bwana kwa nyimbo za Injili, Sara Mvungi amesema kuwa, amechoshwa na upweke wa muda mrefu kwa kuishi bila mwanaume kwa takriban miaka 10 kwa kuwa anasubiri Mungu amshushie mume mwema. Msanii wa filamu aliyejikita kumtumikia Bwana kwa nyimbo za Injili, Sara Mvungi. Akitoa la rohoni kwa paparazi wetu, Sara alisema hajajihusisha na masuala ya mapenzi kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHNZbBotYKNVlfj3*o7CXXMLO-Ir3h19NwbW-fSOXB3mW87JbRaYFprpkN4js*KlfqfTIcE*l4F6L1XIChbn*pc/BACKAMANI.gif?width=650)
ULEVI NI NOMA BINTI WA KIGOGO AFANYIWA MBAYA
Stori: Richard Bukos
ULEVI noma! Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu kilichomtokea mtoto wa kigogo mmoja aishie Masaki ambaye alijikuta akifanyiwa kitu mbaya ndani ya maji kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi, eneo la Coco jijini Dar, Jumamosi iliyopita. Binti akijiachia na njemba huyo baada ya kupiga urabu wa kutosha. Kabla ya tukio hilo, inadaiwa kuwa dada huyo ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, alikesha katika klabu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania