Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NISHA AFANYIWA KITU MBAYA NA VIBAKA

Gladness Mallya
MWANADADA anayefanya vizuri kunako gemu la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvamiwa na vibaka ambao walivunja  gari lake na kuchukua vifaa mbalimbali na fedha dola elfu moja za Marekani sawa na shilingi 1,900,000 za Kitanzania. Mwanadada anayefanya vizuri kunako gemu la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akielezea tukio hilo, Nisha alisema...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MREMBO AFANYIWA KITU MBAYA

Mrembo huyo akiwa kwenye gari. Shani Ramadhani
MREMBO mmoja ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvuliwa nguo kisha kupigwa na madereva bodaboda. Tukio hilo lililovuta umati wa watu lilitokea juzikati maeneo ya Sinza Makaburini, jijini Dar wakati mrembo huyo akiwa na mpenzi wake ikidaiwa kuwa walitokea katika nyumba ya kulala wageni. Imeelezwa kuwa, mpenzi wa mrembo huyo...

 

11 years ago

GPL

MWANAMUZIKI FM ACADEMIA AFANYIWA KITU MBAYA

Na Shakoor Jongo
DUNIA kweli haina huruma! Kitendo alichofanyiwa  mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia ya jijini Dar  anayejulikana kwa jina moja la Flora alfajiri ya kuamkia Desemba 8, mwaka huu ni kibaya katika jamii ya Kitanzania. Flora akiwa hajitambui. Flora akiwa amepata kinywaji ili kuchangamsha mwili wake alijikuta akipigwa na vijana wawili wanaofanya kazi ya kuendesha Bajaj akiwa amewakodi kwa ajili ya kurudi...

 

11 years ago

GPL

SARA MVUNGI AFANYIWA KITU MBAYA

Stori: Gladness Mallya
MWIMBAJI wa  nyimbo za injili nchini, Sara Mvungi amefanyiwa kitu mbaya kwa kukombwa vitu kibao kwenye bodaboda. Sara Mvungi. Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi jioni maeneo ya Kwanyerere, Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo Sara alikuwa kwenye bodaboda ghafla ilitokea nyingine ikiwa kwenye mwendo wa kasi na wahusika walikuwa wawili ambao walimnyang’anya pochi. Akizungumza kwa...

 

10 years ago

GPL

AISHA MADINDA AFANYIWA KITU MBAYA UARABUNI

Stori: Musa Mateja
MNENGUAJI wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani Mbegu maarufu kama ‘Aisha Madinda’, hivi karibuni anadaiwa kufanyiwa kitu mbaya baada ya kupokonywa pasipoti na simu zake kisha kubadilishiwa kazi aliyokusudia kuifanya  na kufanywa hausigeli. Mnenguaji wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani...

 

9 years ago

GPL

NISHA AHAMA MTAA KUWAKIMBIA VIBAKA

Salma Jabu maarufu kama Nisha. SALMA Jabu maarufu kama Nisha amelazimika kuhama mtaa aliokuwa akiishi mwanzo huko Kijitonyama, akiwakimbia vibaka baada ya hivi karibuni kumuibia vifaa ndani ya gari lake. Nyota huyo wa filamu ameamua kuhamia mitaa ya Mbezi Beach baada ya kuhisi huenda vibaka hao wanaweza kurudi na kumfanyia uhalifu mbaya zaidi ya ule wa kuligeuza gari lake gofu kwa kuiba kila kitu cha ndani. “Tangu...

 

10 years ago

GPL

ULEVI NI NOMA BINTI WA KIGOGO AFANYIWA MBAYA

Stori: Richard Bukos
ULEVI noma! Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu kilichomtokea mtoto wa kigogo mmoja aishie Masaki ambaye alijikuta akifanyiwa kitu mbaya ndani ya maji kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi, eneo la Coco jijini Dar, Jumamosi iliyopita. Binti akijiachia na njemba huyo baada ya kupiga urabu wa kutosha. Kabla ya tukio hilo, inadaiwa kuwa dada huyo ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, alikesha katika klabu...

 

10 years ago

GPL

KIBAKA WAMFANYIA KITU MBAYA AUNTY LULU

Stori: Gladness Mallya
HUKU akiwa bado hajapona jeraha la kuchanwa usoni na bwana’ke, mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefanyiwa kitu mbaya na vibaka na kumnyang’anya kila alichokuwa nacho. Mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Akizungumza na paparazi wetu, Aunty Lulu alisema tukio hilo lilitokea wiki iliyopita maeneo ya...

 

11 years ago

GPL

KOMBE LA DUNIA: UJERUMANI YAIFANYIA KITU MBAYA BRAZIL NA KUTINGA FAINALI

Thomas Muller akifunga bao la kwanza la Ujerumani dakika ya 11. Muller akishangilia bao lake.…

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hiyo ni kitu mbaya’: Vilio, simanzi baada ya mabomu kuua 6 Nairobi [VIDEO]

Mabomu hayo yalirindima saa moja unusu jioni katika vijiwe vya Sheraton Café na The New Kwa Muzairua Super Grill Centre, Eastleigh. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani