NISHA AFANYIWA KITU MBAYA NA VIBAKA
![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLtNTwfA9MS2B7-8rLVWSU9TGxC4Y3pDVtN5qLWSPPCTgKvp3r1dHo-yEUFq9fhJg3RNQtK-P*3IXkDLaEnJIVL/GHNH.jpg)
Gladness Mallya MWANADADA anayefanya vizuri kunako gemu la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvamiwa na vibaka ambao walivunja gari lake na kuchukua vifaa mbalimbali na fedha dola elfu moja za Marekani sawa na shilingi 1,900,000 za Kitanzania. Mwanadada anayefanya vizuri kunako gemu la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akielezea tukio hilo, Nisha alisema...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QFZtM12iNiA5Zh9gxST4p5MM5hopoD4HN0Ea8aedWTrj9G-74mmVAxM*pqfTnMxsY-dK390sBmH0IDNeGUfytK2atKs82yMN/IMG20150304WA0005.jpg?width=650)
MREMBO AFANYIWA KITU MBAYA
Mrembo huyo akiwa kwenye gari. Shani Ramadhani
MREMBO mmoja ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvuliwa nguo kisha kupigwa na madereva bodaboda. Tukio hilo lililovuta umati wa watu lilitokea juzikati maeneo ya Sinza Makaburini, jijini Dar wakati mrembo huyo akiwa na mpenzi wake ikidaiwa kuwa walitokea katika nyumba ya kulala wageni. Imeelezwa kuwa, mpenzi wa mrembo huyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpxo4DI5pn72cjfQTyUiYMbG5COY*pYuzDQzoxuVMovEgsm9tS73Y2BNL*tEh2AmmiIqYiNifc8wZc58iSbKRq3F/mwanamuziki.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI FM ACADEMIA AFANYIWA KITU MBAYA
Na Shakoor Jongo
DUNIA kweli haina huruma! Kitendo alichofanyiwa mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia ya jijini Dar anayejulikana kwa jina moja la Flora alfajiri ya kuamkia Desemba 8, mwaka huu ni kibaya katika jamii ya Kitanzania. Flora akiwa hajitambui. Flora akiwa amepata kinywaji ili kuchangamsha mwili wake alijikuta akipigwa na vijana wawili wanaofanya kazi ya kuendesha Bajaj akiwa amewakodi kwa ajili ya kurudi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-0cVXC43YP3-UOa1aItHmQa9ofAfUmJd0pk4P6Q6P3moC2iJ00frPtSaTPyyX-eFDRvlGy8YpPPclMpykKgmI*k/SARA.jpg?width=650)
SARA MVUNGI AFANYIWA KITU MBAYA
Stori: Gladness Mallya
MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, Sara Mvungi amefanyiwa kitu mbaya kwa kukombwa vitu kibao kwenye bodaboda. Sara Mvungi. Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi jioni maeneo ya Kwanyerere, Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo Sara alikuwa kwenye bodaboda ghafla ilitokea nyingine ikiwa kwenye mwendo wa kasi na wahusika walikuwa wawili ambao walimnyang’anya pochi. Akizungumza kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0pPONW5Yrdgvb029hOzCDJvaruqcJ7ZKmnNg3EVuK60YH7PRzdHg8qmY0tURKQ7DUJkxTfcrunLwl*lNqb5Atv/aisha.jpg)
AISHA MADINDA AFANYIWA KITU MBAYA UARABUNI
Stori: Musa Mateja
MNENGUAJI wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani Mbegu maarufu kama ‘Aisha Madinda’, hivi karibuni anadaiwa kufanyiwa kitu mbaya baada ya kupokonywa pasipoti na simu zake kisha kubadilishiwa kazi aliyokusudia kuifanya na kufanywa hausigeli. Mnenguaji wa bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Aisha Ramadhani...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3M3bgp9Lllz5yl-IJ1QDfgdh3dsh4ua6sENtjYr0mB0XHy*rmBpMNFj0Ow8MgOmYdEVRgD89FwPUV2hRjAu36p1/nishajabu.jpg)
NISHA AHAMA MTAA KUWAKIMBIA VIBAKA
Salma Jabu maarufu kama Nisha. SALMA Jabu maarufu kama Nisha amelazimika kuhama mtaa aliokuwa akiishi mwanzo huko Kijitonyama, akiwakimbia vibaka baada ya hivi karibuni kumuibia vifaa ndani ya gari lake. Nyota huyo wa filamu ameamua kuhamia mitaa ya Mbezi Beach baada ya kuhisi huenda vibaka hao wanaweza kurudi na kumfanyia uhalifu mbaya zaidi ya ule wa kuligeuza gari lake gofu kwa kuiba kila kitu cha ndani. “Tangu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHNZbBotYKNVlfj3*o7CXXMLO-Ir3h19NwbW-fSOXB3mW87JbRaYFprpkN4js*KlfqfTIcE*l4F6L1XIChbn*pc/BACKAMANI.gif?width=650)
ULEVI NI NOMA BINTI WA KIGOGO AFANYIWA MBAYA
Stori: Richard Bukos
ULEVI noma! Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu kilichomtokea mtoto wa kigogo mmoja aishie Masaki ambaye alijikuta akifanyiwa kitu mbaya ndani ya maji kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi, eneo la Coco jijini Dar, Jumamosi iliyopita. Binti akijiachia na njemba huyo baada ya kupiga urabu wa kutosha. Kabla ya tukio hilo, inadaiwa kuwa dada huyo ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, alikesha katika klabu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0k2wlsSz7*EKpBYt7V1aAgrKspl9h3u*1Ai6OuAUwgn8AvueG1Epwj7j7GTw91m*gVTQ*K8ZfYC2xXHWKzW1lko/auntylulu.jpg)
KIBAKA WAMFANYIA KITU MBAYA AUNTY LULU
Stori: Gladness Mallya
HUKU akiwa bado hajapona jeraha la kuchanwa usoni na bwana’ke, mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefanyiwa kitu mbaya na vibaka na kumnyang’anya kila alichokuwa nacho. Mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Akizungumza na paparazi wetu, Aunty Lulu alisema tukio hilo lilitokea wiki iliyopita maeneo ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRb6SmW1f4mYR4EQDumYNn3W26Hrb2lp20hPfW6-09oDVTXewCYTw1EkxO-CCtV-cSn82SWSXRiywfNggr-jx4GR/140708201731_gol_muller_512x288_getty_nocredit.jpg?width=640)
KOMBE LA DUNIA: UJERUMANI YAIFANYIA KITU MBAYA BRAZIL NA KUTINGA FAINALI
Thomas Muller akifunga bao la kwanza la Ujerumani dakika ya 11. Muller akishangilia bao lake.…
11 years ago
Mwananchi01 Apr
‘Hiyo ni kitu mbaya’: Vilio, simanzi baada ya mabomu kuua 6 Nairobi [VIDEO]
Mabomu hayo yalirindima saa moja unusu jioni katika vijiwe vya Sheraton Café na The New Kwa Muzairua Super Grill Centre, Eastleigh.Â
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania