Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIBAKA WAMFANYIA KITU MBAYA AUNTY LULU

Stori: Gladness Mallya
HUKU akiwa bado hajapona jeraha la kuchanwa usoni na bwana’ke, mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefanyiwa kitu mbaya na vibaka na kumnyang’anya kila alichokuwa nacho. Mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Akizungumza na paparazi wetu, Aunty Lulu alisema tukio hilo lilitokea wiki iliyopita maeneo ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA SAJUKI... BONGO MOVIE WAMFANYIA MBAYA WASTARA

Stori: Brighton Masalu na Deogratius Mongela
DUA maalum ya kumbukumbu na kumuombea aliyekuwa msanii wa filamu Bongo, Marehemu Juma Issa Kilowoko ‘Sajuki’ imezua minong’ono mingi kufuatia wasanii wengi wanaounda Kundi la Bongo Movie kudaiwa kumfanyia mbaya mkewe, Wastara Juma kwa kutohudhuria, Ijumaa Wikienda lilikuwepo. Dua hiyo ya ilifanyika Jumamosi iliyopita nyumbani kwa marehemu Tabata-Bima, Dar na...

 

9 years ago

Bongo5

Aunty Ezekiel awataka Watanzania kuwa kitu kimoja baada ya uchaguzi

Muigizaji wa filamu nchini, Aunty Ezekiel amewakata Watanzania kuweka pembeni tofauti zao za kiitikadi na vyama baada ya uchaguzi kumalizika. Akizungumza na Bongo5 jana, Aunty amesema amegundua watu wengi hawajui kuna maisha baada ya uchaguzi. “Tunatakiwa kukubali kila kitu kinachofanyika katika uchaguzi kwa sababu wote tuna nia ya kulijenga taifa, kutetea haki ya mtanzania. Tunataka […]

 

10 years ago

GPL

MREMBO AFANYIWA KITU MBAYA

Mrembo huyo akiwa kwenye gari. Shani Ramadhani
MREMBO mmoja ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvuliwa nguo kisha kupigwa na madereva bodaboda. Tukio hilo lililovuta umati wa watu lilitokea juzikati maeneo ya Sinza Makaburini, jijini Dar wakati mrembo huyo akiwa na mpenzi wake ikidaiwa kuwa walitokea katika nyumba ya kulala wageni. Imeelezwa kuwa, mpenzi wa mrembo huyo...

 

11 years ago

GPL

MWANAMUZIKI FM ACADEMIA AFANYIWA KITU MBAYA

Na Shakoor Jongo
DUNIA kweli haina huruma! Kitendo alichofanyiwa  mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia ya jijini Dar  anayejulikana kwa jina moja la Flora alfajiri ya kuamkia Desemba 8, mwaka huu ni kibaya katika jamii ya Kitanzania. Flora akiwa hajitambui. Flora akiwa amepata kinywaji ili kuchangamsha mwili wake alijikuta akipigwa na vijana wawili wanaofanya kazi ya kuendesha Bajaj akiwa amewakodi kwa ajili ya kurudi...

 

10 years ago

GPL

NISHA AFANYIWA KITU MBAYA NA VIBAKA

Gladness Mallya
MWANADADA anayefanya vizuri kunako gemu la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvamiwa na vibaka ambao walivunja  gari lake na kuchukua vifaa mbalimbali na fedha dola elfu moja za Marekani sawa na shilingi 1,900,000 za Kitanzania. Mwanadada anayefanya vizuri kunako gemu la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akielezea tukio hilo, Nisha alisema...

 

11 years ago

GPL

SARA MVUNGI AFANYIWA KITU MBAYA

Stori: Gladness Mallya
MWIMBAJI wa  nyimbo za injili nchini, Sara Mvungi amefanyiwa kitu mbaya kwa kukombwa vitu kibao kwenye bodaboda. Sara Mvungi. Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi jioni maeneo ya Kwanyerere, Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo Sara alikuwa kwenye bodaboda ghafla ilitokea nyingine ikiwa kwenye mwendo wa kasi na wahusika walikuwa wawili ambao walimnyang’anya pochi. Akizungumza kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Bondi, Aunty Lulu Wapashana

Mastaa wa Bongo Movies  na watangazaji waliowahi kuwa wapenzi, Bondi Bin Suleiman na Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ hivi karibuni walipashana baada ya kila mmoja kumdhihaki mwenzake kuwa hana kazi anayofanya mjini.

Bondi alisema kitu kikubwa anachokifanya Aunty Lulu ni kubadilisha wanaume ndiyo sababu ya kushindwa kuendelea na kazi yake ya utangazaji na filamu, akiishia kudanganya kuwa yeye ni mjasiriamali.

Lakini Aunty Lulu naye alijibu tuhuma hizo akisema mwandani wake huyo wa zamani...

 

10 years ago

GPL

AUNTY LULU ALIA KUTENDWA

Stori:  Hamida Hassan
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa ametendwa vya kutosha na marafiki hivyo kwa sasa hahitaji tena kuwa na rafiki. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ Akipiga stori na mwandishi wetu, Aunty Lulu alisema kwa nyakati tofauti marafiki wamemponza akaachika kwenye uhusiano wa wapenzi wake,...

 

10 years ago

GPL

AUNTY LULU ASIMULIA ALIVYOBAKWA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan My confession! (kukiri kwangu)! Mwanadada mwenye taito ya utangazaji na uigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefungua kinywa na kutoa la moyoni akisimulia tukio baya lililowahi kumkuta la jinsi alivyobakwa, Risasi Jumamosi lina ‘exclusive story’. Mwanadada mwenye taito ya utangazaji na uigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani