Aunty Ezekiel awataka Watanzania kuwa kitu kimoja baada ya uchaguzi
Muigizaji wa filamu nchini, Aunty Ezekiel amewakata Watanzania kuweka pembeni tofauti zao za kiitikadi na vyama baada ya uchaguzi kumalizika. Akizungumza na Bongo5 jana, Aunty amesema amegundua watu wengi hawajui kuna maisha baada ya uchaguzi. “Tunatakiwa kukubali kila kitu kinachofanyika katika uchaguzi kwa sababu wote tuna nia ya kulijenga taifa, kutetea haki ya mtanzania. Tunataka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sZu174uftfs/Xr_kQG7MdqI/AAAAAAALqds/xZES7OVf_Lovivmg2oFOq6TGoAD50qZKwCLcBGAsYHQ/s72-c/7f4764b4-99e6-4c49-a4e6-06f97c0691f5.jpg)
DC TANO MWERA AWATAKA WAZAZI NA WANAFAMILIA KUWA KITU KIMOJA BUSEGA
MKUU wa Wilaya ya Busega, Mhe.Tano Mwera amewataka Wazazi na Walezi kuwa kitu kimoja kwa wakati huu nchi na Dunia kwa ujumla zipo kwenye mapambano ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19).
Ambapo amewataka kuwa karibu na familia zao kwa sasa na kuacha mifarakano ambayo itawatenganisha.
DC Tano Mwera ametoa rai hiyo leo 15 Mei ambapo Dunia inaadhimisha siku ya Familia Duniani."Wana Busega ni familia moja tuendelee kushirikiana na kuchukua...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s72-c/8.jpg)
AFANDE SELE AWAASA WASANII KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA,AWATAKA KUACHA TABIA YA KUBAGUANA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1KSLZSWICbI/VB64EKkXZGI/AAAAAAACrVA/s2_JJoapqNk/s1600/13.jpg)
9 years ago
Bongo502 Nov
Aunty Ezekiel adai hajutii kuwa na Mose Iyobo
![Aunt Ezekiel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Aunt-Ezekiel-94x94.png)
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.
Shabiki akipata picha...
10 years ago
MichuziCASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
5 years ago
CCM BlogWAITARA AWATAKA WATANZANIA KUWA NA UZALENDO ULIOPITILIZA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Na Richard Mwaikenda, Ukonga.
NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara, amewataka Watanzania kuwa na Uzalendo uliopitiliza katika mapambano dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona.
Amesema wawe makini na wageni wanaoingia nchini kupitia mipaka...
10 years ago
CloudsFM30 Oct
AUNTY EZEKIEL MJAMZITO?
Habari zimeenea kuwa staa wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel kuwa ni mjamzito,kupitia mtandao wa Instagram baadhi ya mashabiki wake wamekuwa wakimuuliza kuwa kama ni mjamzito kutokana na muonekano wa tumbo lake kwa sasa kuwa ni kubwa kama linavyoonekana kwenye picha wakati akimlisha keki msanii mwenzake JB wakati wa sherehe ya kuadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa.
Baadhi ya maswali yalikuwa hivi: mamibeuty wow mum kijacho look gud my dia congrlnt@auntyezekiel
jweekendy_girl Mbona km mama...
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Aunty Ezekiel afunguka