Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEVOTHA APATA PIGO

Na Gladness Mallya
MSANII wa filamu aliye pia katibu msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devotha Mbaga amepata pigo la baa yake kuteketea kabisa kwa moto. Msanii wa filamu aliye pia katibu msaidizi wa Bongo Movie Unity, Devotha Mbaga Akizungumza kwa njia ya simu Devotha alisema wakati ajali hiyo inatokea hakuwepo kwani yupo nje ya Jiji la Dar ambapo alipata taarifa kutoka kwa wafanyakazi wake kwamba baa yake hiyo iliyopo maeneo ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

OTILIA APATA PIGO

Stori:  Gladness Mallya
MNENGUAJI wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface amepata pigo baada ya kufiwa na mamamkwe wake aliyejulikana kwa jina la Khadija Salum. Otilia Boniface. Akizungumza kwa masikitiko, Otilia alisema ameumizwa na kifo cha mama huyo kwani aliugua na kupona lakini kilichosababisha kifo chake ni ajali ambapo aligongwa na gari maeneo ya Magomeni, Dar hivi karibuni akapasuka kichwa na kufa papo hapo akiwa...

 

9 years ago

GPL

KAJALA APATA PIGO

Staa mwenye mvuto ndani ya Bongo Muvi, Kajala Masanja. Imelda mtema POLE! Staa mwenye mvuto ndani ya Bongo Muvi, Kajala Masanja hivi karibuni alipata pigo zito baada ya kufiwa na bibi yake (mzaa mama) aliyekuwa akiuugua kwa muda mrefu huko mkoani Songea. Akizungumza na Ijumaa Wikienda akiwa msibani, Kajala alisema amempoteza mtu muhimu katika maisha yake kwani bibi yake huyo alikuwa akimpenda, kumlea na kumshauri mambo muhimu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Serena William apata pigo

Bingwa wa mchezo wa tenisi upande wa wanawake Serena Williams amepata pigo kubwa katika mashindano ya US Open baada ya kushindwa kwa seti 2-6 6-4 6-4 na Muitaliano Roberta Vinci katika nusu fainali.

 

10 years ago

GPL

LULU APATA PIGO LA KUFIWA

Imelda Mtema na Musa Mateja MSIBA! Staa mwenye umri mdogo anayekimbiza katika filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amepata pigo baada ya kufiwa na bibi yake mzaa mama, Leonadina Mboneko (pichani), aliyefariki dunia juzi asubuhi katika Hospitali ya Masana, iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1gbWwq8

 

11 years ago

GPL

SARA MVUNGI APATA PIGO

NA GLADNESS MALLYA MWIGIZAJI na staa wa nyimbo za Injili Bongo, Sara Mvungi amepata pigo kwa kuondokewa na mdogo wake, Maria katika Hospitali ya Bombo jijini Tanga. Mwigizaji na staa wa nyimbo za Injili Bongo, Sara Mvungi. Akizungumza na paparazi wetu, Sara alisema mdogo wake aliyekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua na homa kali, alilazwa katika hospitali hiyo hadi alipopatwa na umauti usiku wa kuamkia Jumatatu, Juni 16,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Apata Pigo, Afiwa na Bibi Yake

MSIBA! Staa mwenye umri mdogo anayekimbiza katika filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amepata pigo baada ya kufiwa na bibi yake mzaa mama, Leonadina Mboneko, aliyefariki dunia juzi asubuhi katika Hospitali ya Masana, iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Amani mama mzazi wa Lulu, Lucresia Karugila alisema mama yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu jambo lililomlazimu kumtoa nyumbani kwake Bukoba na kumleta jijini kwa ajili ya kupata...

 

10 years ago

GPL

AMINI APATA PIGO LA TATU NDANI YA MWEZI MMOJA

Staa wa Bongo Fleva, Amini Mwinyimkuu. Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
STAA wa Bongo Fleva, Amini Mwinyimkuu amepata pigo lingine la tatu kwa kufiwa na dada yake aitwaye Doto nyumbani kwao, Mwananyamala jijini Dar. Akizungumza na paparazi wetu kwa masikitiko, Amini alisema ameumia sana kupatwa na msiba huo wa tatu lakini anamshukuru Mungu kwani hawezi kuikosoa kazi yake.“Siwezi kuingilia kazi ya Mungu, hawa ndugu...

 

10 years ago

Mtanzania

Jose Chameleone apata pigo afiwa na mdogo wake AK47

Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI wa dancehall, Emmanuel Mayanja (AK47) ambaye ni mdogo wa mwanamuziki Jose Chameleone, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana baada ya kudondoka vibaya akiwa bafuni.
Mayanja, ambaye ndiye mdogo pekee wa Chameleone aliyebaki katika lebo yake ya Leon Island Records, baada ya Weasel na Pallaso kujiengua, anaelezwa kufariki dunia katika mji wa Kabalagala, Kampala nchini Uganda,
Kifo chake kilithibitishwa na madaktari baada ya kufikishwa katika hospitali ya Nsambya...

 

5 years ago

Michuzi

ALI KIBA APATA PIGO, WASANII WAKE WAWILI WAMKIMBIA


Charles James, Michuzi TV

PIGO! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wasanii wawili, Killy na Cheesy kutoka Lebo ya Kings Music inayomilikiwa na Supastaa, Ali Kiba kutangaza kujitoa kwenye lebo hiyo.

Taarifa za kujitoa kwa wakali hao zimeanza kusambaa leo baada ya wasanii hao wenyewe kuandika kwenye mitandao yao ya Instagram lakini hawajaweka sababu za kujitoa kwao.

" Naitwa Ally Killy maarufu kama Lilly nikijulikana kama msanii wa Kings Music Records, napenda kuwajulisha fans wangu wote waliokua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani