ALI KIBA APATA PIGO, WASANII WAKE WAWILI WAMKIMBIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvXzJ70P4sM/XpVuImyF6fI/AAAAAAALm6E/OG5jeEZI3cc-1CAA7vgINF6NyhfLgRcxACLcBGAsYHQ/s72-c/cf4504b5-09e4-45f9-b077-2f7f8a6b7248.jpg)
Charles James, Michuzi TV
PIGO! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wasanii wawili, Killy na Cheesy kutoka Lebo ya Kings Music inayomilikiwa na Supastaa, Ali Kiba kutangaza kujitoa kwenye lebo hiyo.
Taarifa za kujitoa kwa wakali hao zimeanza kusambaa leo baada ya wasanii hao wenyewe kuandika kwenye mitandao yao ya Instagram lakini hawajaweka sababu za kujitoa kwao.
" Naitwa Ally Killy maarufu kama Lilly nikijulikana kama msanii wa Kings Music Records, napenda kuwajulisha fans wangu wote waliokua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Jose Chameleone apata pigo afiwa na mdogo wake AK47
Na Mwandishi Wetu
MWANAMUZIKI wa dancehall, Emmanuel Mayanja (AK47) ambaye ni mdogo wa mwanamuziki Jose Chameleone, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana baada ya kudondoka vibaya akiwa bafuni.
Mayanja, ambaye ndiye mdogo pekee wa Chameleone aliyebaki katika lebo yake ya Leon Island Records, baada ya Weasel na Pallaso kujiengua, anaelezwa kufariki dunia katika mji wa Kabalagala, Kampala nchini Uganda,
Kifo chake kilithibitishwa na madaktari baada ya kufikishwa katika hospitali ya Nsambya...
10 years ago
VijimamboJULIO APATA PIGO, MDOGO WAKE AUWAWA NCHINI AFRIKA KUSINI
"Kweli alimwagiwa maji na huyo Mzimbabwe...
11 years ago
Bongo511 Jul
Ali Kiba:Nawasaidia wasanii wachanga kutokana na mateso ambayo nimepata
9 years ago
Global Publishers27 Dec
Ali Kiba apagawisha mashabiki wake Escape One
Ali Kiba akikonga nyoyo za mashabiki wake katika ukumbi wa Escape One Mikocheni usiku wa kuamkia leo.…Akipozi kwa ajili ya selfee.
…Akichekecha na kucheketua.
Mashabiki waliofurika kwenye onyesho hilo wakiimba na kucheza pamoja na Ali Kiba
10 years ago
GPLALI KIBA AAHIDI KUWACHEKETUA MASHABIKI WAKE
10 years ago
CloudsFM04 Mar
Ali Kiba kukutana na mashabiki wake kupitia #‎ChekeTOUR‬
#ChekeTOUR ya #MwanaWenu inaanza wiki hii - Kanda ya kaskazini ndio shughuli inaanzia.
Ijumaa hii 6.3.2015 - Moshi @ClubLaLiga
Jumamosi 7.3.2015 - Arusha @ClubTripleA
Jumapili 8.3.2015 - Namanga @BreezingPoint
Sasa mpango upo hivi - kwa heshima na taadhima @officialalikiba anaomba umpangie playlist ya ngoma zake ambazo ungependa ushuhudie akiimba siku ya show, mavazi na muda wa performance. Kwa kila mkoa watachaguliwa mashabiki watano ambayo watakuwa wameipanga vizuri show. Watajishindia...
10 years ago
CloudsFM16 Jan
ALI KIBA AWASHUKURU MASHABIKI WAKE KWA KUISAPOTI MWANA DSM
Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba amewashukuru mashabiki wake kwa kusapoti ngoma zake ikiwemo Mwana Dsm ambayo aliitoa mwaka jana lakini kutoka na sapoti kubwa ya mashabiki hadi leo inafanya vyema kwenye vituo mbalimbali vya redio na tv.
10 years ago
Dewji Blog13 Feb
Ali Kiba adhihirisha ubora wake ndani ya tamasha la Sauti za Busara 2015
Ali Kiba jukwaani Sauti za Busara 2015.
Na Andrew Chale wa modewjiblog, Zanzibar
Msanii nyota Nchini, Ali Kiba usiku wa Februari 12, ameweza kukonga nyoyo za mashabiki waliofurika kwenye tamasha kubwa la muziki la Kimataifa linaloaendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe, Unguja Zanzibar.
Katika shoo hiyo Ali Kiba alipanda jukwaani majira ya saa sita usiku na kuendelea kwa zaidi ya masaa mawili, alikonga nyoyo umati wa mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi huo huku akishangiliwa wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CDbPuBkpdqs/VXppv-0faJI/AAAAAAAATPo/2-SKNfIA8pE/s72-c/IMG_8684.jpg)
ALI KIBA NA ABDU KIBA WALIVYOWARUSHA WASHINGTON DC..WAKISINDIKIZWA NA AJ UBAO !
![](http://2.bp.blogspot.com/-CDbPuBkpdqs/VXppv-0faJI/AAAAAAAATPo/2-SKNfIA8pE/s640/IMG_8684.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TLHpBTM-VN8/VXppzvt5WtI/AAAAAAAATQg/Q2KIP7dpSME/s640/IMG_8711.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vKSD7mM66kI/VXppzO84QiI/AAAAAAAATQQ/LknsqisA5WE/s640/IMG_8706.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA