Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA YAONGEZA MWEZI MMOJA USAJILI WA PIKIPIKI

Na Raymond Mushumbusi MAELEZO
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema imeongeza muda kwa usajili  wa vyombo vya usafiri vya Pikipiki za magurudumu mawili na matatu mpaka  Februari Mosi mwaka 2016.
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari katika kikao chake cha kutoa taarifa kwa umma juu ya ukusanyaji wa kodi, Kaimu Kamishna Mkuu amesema wameamua kuongeza muda wa zoezi la usajili wa pikipiki ili kuiwapa nafasi wale...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Rais Magufuli Aipongeza TRA Kukusanya Trilioni 1.3 kwa Mwezi Mmoja

MagufuliRais Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.3

Kutokana na mafanikio hayo amewahakikishia watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari ambazo ni...

 

9 years ago

MillardAyo

Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…

Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa  kutoka kwa […]

The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...

 

10 years ago

Habarileo

TFF yaongeza muda wa usajili

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limesogeza mbele dirisha la usajili kwa timu za Ligi Kuu, daraja la kwanza na la pili na sasa litafunga Agosti 20 badala ya jana kama ilivyopangwa awali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DART yaongeza siku usajili daladala

WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) umetangaza kusogeza mbele zoezi la kuandikisha mabasi ya abiria ‘daladala’ zinazopita katika Barabara ya Morogoro au kukatiza katika njia...

 

10 years ago

Mwananchi

Waomba muda wa usajili pikipiki uongezwe

>Madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda mjini hapa, wameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuongeza muda wa kusajili namba mpya kwani muda uliowekwa kisheria hautoshi.

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili wa pikipiki, bajaji unahitaji umakini

Hatua ya Serikali ya kuweka mfumo mpya wa usajili wa namba za pikipiki na bajaji ni ya kupongeza ingawa imekuja ikiwa imechelewa. 

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili mpya wa pikipiki kuanza Oktoba Mosi

Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inakusudia kudhibiti matukio ya uhalifu yanayohusisha vyombo vya moto kwa kutangaza usajili mpya wa namba za pikipiki za aina zote, zikiwamo bodaboda na bajaji.

 

10 years ago

Mwananchi

TRA: Pikipiki zisajiliwe kwa muda uliowekwa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Kagera imewataka wamiliki wa pikipiki kuhakikisha wanasajili vyombo hivyo kwa muda unaotakiwa, vinginevyo watachukuliwa hatua za kisheria.

 

10 years ago

Mwananchi

TRA kufuta usajili wa vyombo vya moto

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wamiliki wa vyombo vya moto visivyotumika kufuta usajili wake ili kuiwezesha Serikali kuwa na kumbukumbu sahihi ya vyombo vya moto vinavyofanya kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani