Waomba muda wa usajili pikipiki uongezwe
>Madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda mjini hapa, wameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuongeza muda wa kusajili namba mpya kwani muda uliowekwa kisheria hautoshi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Usajili wa pikipiki, bajaji unahitaji umakini
11 years ago
GPLNyota Simba waomba usajili Yanga
9 years ago
MichuziTRA YAONGEZA MWEZI MMOJA USAJILI WA PIKIPIKI
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema imeongeza muda kwa usajili wa vyombo vya usafiri vya Pikipiki za magurudumu mawili na matatu mpaka Februari Mosi mwaka 2016.
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari katika kikao chake cha kutoa taarifa kwa umma juu ya ukusanyaji wa kodi, Kaimu Kamishna Mkuu amesema wameamua kuongeza muda wa zoezi la usajili wa pikipiki ili kuiwapa nafasi wale...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Usajili mpya wa pikipiki kuanza Oktoba Mosi
10 years ago
StarTV27 Feb
Makambako waomba muda wa uandikishaji kuongezwa.
Na Mercy Sekabogo
Njombe.
Ikiwa ni siku chache tangu Serikali kuzinduliwa mpango wa uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR), wakazi wa Hamashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe wameiomba Serikali kuongeza muda wa kujiandikisha.
Kauli hiyo inakuja baada ya kuwepo kwa dalili za watu kukosa nafasi hiyo kutokana na idadi kubwa ya watu wanaolala vituoni wakisubiri foleni asubuhi na kukosa fursa hiyo.
Unadikishaji wa Daftari la...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
TRA: Pikipiki zisajiliwe kwa muda uliowekwa
10 years ago
Habarileo07 Aug
TFF yaongeza muda wa usajili
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limesogeza mbele dirisha la usajili kwa timu za Ligi Kuu, daraja la kwanza na la pili na sasa litafunga Agosti 20 badala ya jana kama ilivyopangwa awali.
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Muda wa mwisho wa usajili wanukia Uingereza
10 years ago
Habarileo18 Mar
Necta yasogeza muda usajili wa watahiniwa
BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) limesogeza muda wa kujisajili kwa watahiniwa wa kujitegemea kwa ajili ya mtihani wa kidato cha nne.