Usajili mpya wa pikipiki kuanza Oktoba Mosi
Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inakusudia kudhibiti matukio ya uhalifu yanayohusisha vyombo vya moto kwa kutangaza usajili mpya wa namba za pikipiki za aina zote, zikiwamo bodaboda na bajaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Usajili wa pikipiki, bajaji unahitaji umakini
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Waomba muda wa usajili pikipiki uongezwe
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b0oGfXHtjzM/Vo0WkstDS2I/AAAAAAAIQ2Y/bvLFiaMwHMI/s72-c/3_28_o.jpg)
TRA YAONGEZA MWEZI MMOJA USAJILI WA PIKIPIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0oGfXHtjzM/Vo0WkstDS2I/AAAAAAAIQ2Y/bvLFiaMwHMI/s320/3_28_o.jpg)
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema imeongeza muda kwa usajili wa vyombo vya usafiri vya Pikipiki za magurudumu mawili na matatu mpaka Februari Mosi mwaka 2016.
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari katika kikao chake cha kutoa taarifa kwa umma juu ya ukusanyaji wa kodi, Kaimu Kamishna Mkuu amesema wameamua kuongeza muda wa zoezi la usajili wa pikipiki ili kuiwapa nafasi wale...
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Kombe la Mapinduzi kuanza Januari Mosi
9 years ago
Habarileo03 Sep
El-nino kuanza Oktoba
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kunyesha mvua nyingi za El–nino katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba mwaka huu.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S642KsM6XOkDZqMe8H*4vj63SHmQeZ246XFW8dlcsQMgP4JhWuBi*iJe15K15pUSaWfQkPLhN7LvI-NvOBYE8IR4LoEgMtl*/11889464_10205952907956735_6399585837112920424_n.jpg)
9 years ago
Habarileo13 Nov
Bunge la 11 kuanza leo kwa usajili
WAKATI wabunge wateule wakianza kujisajili leo tayari kwa vikao muhimu vya kwanza vya Bunge la 11 wiki ijayo ikiwamo kumchagua Spika na Waziri Mkuu, Serikali ya Mkoa wa Dodoma imesema imejipanga vyema kuupokea ugeni huo na kuuhudumia huku ikisisitiza amri iliyowekwa ya kuzuia mikutano ya hadhara na maandamano iko palepale.
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), yaandaa onesho la sites kufanyika ukumbi wa Mlimani City Oktoba Mosi jijini Dar
Kaimu Mkurugenzi Mwendeshaji Bodi ya Utalii Tanzania, Devotha Mdachi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu Onesho la Sites litakalofanyika Oktoba Mosi hadi 3, 2015 Ukumbi wa Mlimani City. Kushoto ni Ofisa Mauzo Mkuu wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Lima Dsilva na Meneja Huduma wa Shirika la Ndege la Ethiopia, Dawit Mekonnen.
Meneja Huduma za Utalii wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Philip Sebastian (wa pili kulia), akizungumza katika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2QRhrJIt3k/U8zbO0ExKeI/AAAAAAAF4Tg/LPCuiw5X4fE/s72-c/NACTE+LOGO.jpg)
Masomo ya ODPE Vyuo kuanza Oktoba 6
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2QRhrJIt3k/U8zbO0ExKeI/AAAAAAAF4Tg/LPCuiw5X4fE/s1600/NACTE+LOGO.jpg)
Zoezi la uombaji wa mafunzo hayo kwa mwaka 2014/15 lilianza rasmi tarehe 23 June 2014 na litakoma 31 Agosti 2014 na mafunzo...