El-nino kuanza Oktoba
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kunyesha mvua nyingi za El–nino katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Sarafu ya Sh500 kuanza kutumika Oktoba
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imezindua rasmi sarafu mpya ya Sh500 itakayoanza kutumika Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2QRhrJIt3k/U8zbO0ExKeI/AAAAAAAF4Tg/LPCuiw5X4fE/s72-c/NACTE+LOGO.jpg)
Masomo ya ODPE Vyuo kuanza Oktoba 6
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2QRhrJIt3k/U8zbO0ExKeI/AAAAAAAF4Tg/LPCuiw5X4fE/s1600/NACTE+LOGO.jpg)
Zoezi la uombaji wa mafunzo hayo kwa mwaka 2014/15 lilianza rasmi tarehe 23 June 2014 na litakoma 31 Agosti 2014 na mafunzo...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Usajili mpya wa pikipiki kuanza Oktoba Mosi
Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inakusudia kudhibiti matukio ya uhalifu yanayohusisha vyombo vya moto kwa kutangaza usajili mpya wa namba za pikipiki za aina zote, zikiwamo bodaboda na bajaji.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-obYroiZv_wE/XslQeQ0z_0I/AAAAAAALrXg/t9BrCe3-52QzOJFpgUoPyGzqW4OWgfntwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0928-2048x1345.jpg)
MAJALIWA: UPANDAJI RASMI WA MICHIKICHI KUANZA OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-obYroiZv_wE/XslQeQ0z_0I/AAAAAAALrXg/t9BrCe3-52QzOJFpgUoPyGzqW4OWgfntwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_0928-2048x1345.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua shughuli za kukuza miche ya michikichi, katika kitalu kilichopo kwenye Gereza la Kwitanga, akiwa katika ziara ya siku moja, iliyolenga kukagua maendeleo ya zao chikichi mkoani Kigoma, May 23 2020 ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_1027-scaled.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua kitalu cha miche ya michikichi, katika shamba la Kikosi 821 Buulombora, akiwa katika ziara ya siku moja, iliyolenga kukagua maendeleo ya zao chikichi mkoani Kigoma, May 23 2020 ( Picha na...
11 years ago
GPLMASOMO YA ODPE KUANZA OKTOBA 6 MWAKA HUU
·      Ni ya Stashahada ya Ualimu wa shule za Msingi
·      Udahili wote kufanywa na NACTE
·      Wasiruhusiwa na kuzingatia utaratibu kutotambuliwa
·      Waombaji masomo ya Hesabu na Sayansi kupatiwa mikopo Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limetangaza 6 Oktoba kuwa ni tarehe ya kuanza kwa mafunzo ya stashahada ya ualimu wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-T_qioEquxcA/XslMjcv1gEI/AAAAAAAC564/7-3yL5qmnWYpSbj5n8jgWY3Y1eID5d8PwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU; UPANDAJI RASMI WA MICHIKICHI KUANZA OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-T_qioEquxcA/XslMjcv1gEI/AAAAAAAC564/7-3yL5qmnWYpSbj5n8jgWY3Y1eID5d8PwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, amesema upandaji wa zao la michikichi utaanza rasmi Oktoba mwaka huu na kama kuna mtu mmoja mmoja au kikundi wanataka kulima chikichi, waandae mashamba yao na miche ya awali watapewa bure.
“Serikal imedhamiria tulime zao hili kwa wingi na tuwasaidie wakulima kwani tunatumia pesa nyingi sana kununua mafuta ya mawese kutoka nje. Tukilima kwa wingi tutajitosheleza na hatutaagiza mafuta kutoka nje.”
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumamosi, Mei 23, 2020) baada ya...
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kamati ya Bunge ya Bajeti kuanza vikao vyake Oktoba 13 hadi Novemba 2 mwaka huu jijini Dar
Kamati Oct 2014.doc by moblog
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s72-c/images.jpg)
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
Kwa kuzingatia marekebisho ya Kanuni ya Ligi Daraja la Pili (SDL) yaliyofanywa na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) hivi karibuni, SDL kwa msimu wa 2015/2016 itachezwa katika makundi manne ya timu sita sita kwa mtindo wa nyumbani na ugenini.
Timu itakayoongoza kundi itacheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu wa 2016/2017 wakati ya mwisho katika kila kundi itarudi kucheza Ligi ya Mkoa wake kwa msimu wa 2016/2017. Makundi ya SDL ni kama ifuatavyo; Kundi A ni...
![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s400/images.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 May
‘Msihofie El- Nino’
Wakati watabiri wa hali ya hewa wa Marekani wakionya uwezekano wa kutokea kwa maafa ya El Nino, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema viashiria vilivyopo havipaswi kuwatia hofu wananchi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania