Sarafu ya Sh500 kuanza kutumika Oktoba
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imezindua rasmi sarafu mpya ya Sh500 itakayoanza kutumika Oktoba mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUMEME WA GESI ASILIA KUANZA KUTUMIKA HIVI KARIBUNI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S642KsM6XOkDZqMe8H*4vj63SHmQeZ246XFW8dlcsQMgP4JhWuBi*iJe15K15pUSaWfQkPLhN7LvI-NvOBYE8IR4LoEgMtl*/11889464_10205952907956735_6399585837112920424_n.jpg)
9 years ago
Habarileo03 Sep
El-nino kuanza Oktoba
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kunyesha mvua nyingi za El–nino katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba mwaka huu.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t0X1FYTBRW8/VmAQ6P6pUWI/AAAAAAAIJ98/To4l9twnJBw/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO YATANGAZA KUANZA KUTUMIKA KWA BEI MPYA YA MAJI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-t0X1FYTBRW8/VmAQ6P6pUWI/AAAAAAAIJ98/To4l9twnJBw/s640/Untitled1.png)
Gharama hizo mpya ambazo zimeanza rasmi kutumika Disemba 01, zimepanda...
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Ipitie Hotuba ya kuanza rasmi kutumika kwa sheria ya makosa ya mtandao hapa nchini
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (Mb), akiongea na waandishi wa habari kuhusu kuanza kutumika rasmi kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao na ya Miamala ya Kieletroniki za mwaka 2015. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bwana John Mngodo
Ndugu Wandishi wa Habari, Mabibi na Mabwana,
Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2QRhrJIt3k/U8zbO0ExKeI/AAAAAAAF4Tg/LPCuiw5X4fE/s72-c/NACTE+LOGO.jpg)
Masomo ya ODPE Vyuo kuanza Oktoba 6
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2QRhrJIt3k/U8zbO0ExKeI/AAAAAAAF4Tg/LPCuiw5X4fE/s1600/NACTE+LOGO.jpg)
Zoezi la uombaji wa mafunzo hayo kwa mwaka 2014/15 lilianza rasmi tarehe 23 June 2014 na litakoma 31 Agosti 2014 na mafunzo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-obYroiZv_wE/XslQeQ0z_0I/AAAAAAALrXg/t9BrCe3-52QzOJFpgUoPyGzqW4OWgfntwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0928-2048x1345.jpg)
MAJALIWA: UPANDAJI RASMI WA MICHIKICHI KUANZA OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-obYroiZv_wE/XslQeQ0z_0I/AAAAAAALrXg/t9BrCe3-52QzOJFpgUoPyGzqW4OWgfntwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_0928-2048x1345.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua shughuli za kukuza miche ya michikichi, katika kitalu kilichopo kwenye Gereza la Kwitanga, akiwa katika ziara ya siku moja, iliyolenga kukagua maendeleo ya zao chikichi mkoani Kigoma, May 23 2020 ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_1027-scaled.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua kitalu cha miche ya michikichi, katika shamba la Kikosi 821 Buulombora, akiwa katika ziara ya siku moja, iliyolenga kukagua maendeleo ya zao chikichi mkoani Kigoma, May 23 2020 ( Picha na...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Usajili mpya wa pikipiki kuanza Oktoba Mosi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-T_qioEquxcA/XslMjcv1gEI/AAAAAAAC564/7-3yL5qmnWYpSbj5n8jgWY3Y1eID5d8PwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU; UPANDAJI RASMI WA MICHIKICHI KUANZA OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-T_qioEquxcA/XslMjcv1gEI/AAAAAAAC564/7-3yL5qmnWYpSbj5n8jgWY3Y1eID5d8PwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, amesema upandaji wa zao la michikichi utaanza rasmi Oktoba mwaka huu na kama kuna mtu mmoja mmoja au kikundi wanataka kulima chikichi, waandae mashamba yao na miche ya awali watapewa bure.
“Serikal imedhamiria tulime zao hili kwa wingi na tuwasaidie wakulima kwani tunatumia pesa nyingi sana kununua mafuta ya mawese kutoka nje. Tukilima kwa wingi tutajitosheleza na hatutaagiza mafuta kutoka nje.”
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumamosi, Mei 23, 2020) baada ya...