SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA MOSI
![](http://api.ning.com:80/files/S642KsM6XOkDZqMe8H*4vj63SHmQeZ246XFW8dlcsQMgP4JhWuBi*iJe15K15pUSaWfQkPLhN7LvI-NvOBYE8IR4LoEgMtl*/11889464_10205952907956735_6399585837112920424_n.jpg)
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
YkileoSHERIA MTANDAO: YASIYOTAJWA ITAKAPO ANZA KUTUMIKA SEPTEMBA MOSI
Hivi karibuni kupitia mkutano mkuu wa mwaka wa maswala ya...
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Ipitie Hotuba ya kuanza rasmi kutumika kwa sheria ya makosa ya mtandao hapa nchini
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (Mb), akiongea na waandishi wa habari kuhusu kuanza kutumika rasmi kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao na ya Miamala ya Kieletroniki za mwaka 2015. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bwana John Mngodo
Ndugu Wandishi wa Habari, Mabibi na Mabwana,
Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lRXOY8TlRVY/VeTNKwVJ5LI/AAAAAAAH1a4/ZxoSpmwSA3M/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA PROF. MAKAME M. MBARAWA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KWA WAANDISHI WA HABARI YA KUTANGAZA RASMI KUANZA KUTUMIKA KWA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO NA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI ZA MWAKA 2015 KWENYE UKUMBI WA MIKUTA
Mabibi na Mabwana,Napenda nichukue fursa hii kuwashukuru nyote hasa waandishi wa habari kwa kutenga muda wenu na kujumuika nasi kwa lengo la kutangaza rasmi kuanza kutumika kwa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye gazeti la Serikali la tarehe 14/08/2015 na kupewa Na. 328. Pia Sheria ya Miamala ya Kielektroniki, 2015 ambayo ilitangazwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe hiyo hiyo na kupewa Na.329.
Ndugu Wananchi,Teknolojia ya Habari na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Habarileo28 May
Kamati yapongeza sheria ya makosa ya mtandao
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imepongeza serikali kwa kuwasilisha muswada wa sheria ya makosa ya mtandao, huku ikisisitiza elimu kwa wananchi ili waepuke makosa yatakayowatia hatiani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3OvP*GExdpiQ7D*XCQ7s71KdLPfwqJts*J0ze7QNe2SsVyi5ME5BiBBNF0j*MbolAiFlyB50PIdpZD0wJTyBm2C/10984983_897634173633911_3040955696030526845_n.jpg?width=650)
UCHAMBUZI WA SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-Kz1A6yJtmvw/VRwlc3ZwFgI/AAAAAAAABYI/gCMT6A-S6uo/s72-c/cyber_law.jpg)
UCHAMBUZI WA SHERIA ZA MAKOSA MTANDAO, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kz1A6yJtmvw/VRwlc3ZwFgI/AAAAAAAABYI/gCMT6A-S6uo/s1600/cyber_law.jpg)
Nitaanza na...
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Sheria ya Makosa ya Mtandao yadaka ndugu watatu
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
Sheria ya mpya ya makosa ya mtandao mwisho Chumbe?
Monday, September 7, 2015 Na Muandishi wetu swahilivilla Blog Wanadiaspora wameelezea wasiwasi wao kuwa sheria mpya ya Makosa Ya Mtandao iliyoanza kufanya kazi tarehe mosi mwezi huu nchini Tanzania, huenda ikaishia Chumbe, imefahamika. Hayo yamekuja kwenye […]
The post Sheria ya mpya ya makosa ya mtandao mwisho Chumbe? appeared first on Mzalendo.net.