Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJALIWA: UPANDAJI RASMI WA MICHIKICHI KUANZA OKTOBA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua shughuli za kukuza miche ya michikichi, katika kitalu kilichopo kwenye Gereza la Kwitanga, akiwa katika ziara ya siku moja, iliyolenga kukagua maendeleo ya zao chikichi mkoani Kigoma, May 23 2020 ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua kitalu cha miche ya michikichi, katika shamba la Kikosi 821 Buulombora, akiwa katika ziara ya siku moja, iliyolenga kukagua maendeleo ya zao chikichi mkoani Kigoma, May 23 2020 ( Picha na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU; UPANDAJI RASMI WA MICHIKICHI KUANZA OKTOBA


WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, amesema upandaji wa zao la michikichi utaanza rasmi Oktoba mwaka huu na kama kuna mtu mmoja mmoja au kikundi wanataka kulima chikichi, waandae mashamba yao na miche ya awali watapewa bure.
“Serikal imedhamiria tulime zao hili kwa wingi na tuwasaidie wakulima kwani tunatumia pesa nyingi sana kununua mafuta ya mawese kutoka nje. Tukilima kwa wingi tutajitosheleza na hatutaagiza mafuta kutoka nje.”
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumamosi, Mei 23, 2020) baada ya...

 

5 years ago

Michuzi

UZALISHAJI MBEGU ZA MICHIKICHI UNARIDHISHA -WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua miche ya michikichi wakati alipotembelea kitalu cha mbegu bora zinazooteshwa katika kituo cha utafiti wa zao hilo cha Kihinga kilichopo wilayani Kigoma, Februari 21, 2020.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Dkt. Filson Kagimbo kuhusu uoteshaji wa mbegu bora za michikichi wakati alipotembelea kitalu cha...

 

9 years ago

CCM Blog

PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA

 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa
Mke wa waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa

 

9 years ago

Habarileo

El-nino kuanza Oktoba

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kunyesha mvua nyingi za El–nino katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba mwaka huu.

 

11 years ago

Michuzi

Masomo ya ODPE Vyuo kuanza Oktoba 6

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limetangaza 6 Oktoba kuwa ni tarehe ya kuanza kwa mafunzo ya stashahada ya ualimu wa shule za msingi (Ordinary Diploma in Primary Education (ODPE)) katika vyuo teule vya majaribio na Stashahada maalumu ya Ualimu wa Sekondari kwa waliomaliza kidato cha nne (Hisabati na Sayansi) itakayoendeshwa katika chuo kikuu cha Dodoma.
Zoezi la uombaji wa mafunzo hayo kwa mwaka 2014/15 lilianza rasmi tarehe 23 June 2014 na litakoma 31 Agosti 2014 na mafunzo...

 

10 years ago

Mwananchi

Sarafu ya Sh500 kuanza kutumika Oktoba

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imezindua rasmi sarafu mpya ya Sh500 itakayoanza kutumika Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili mpya wa pikipiki kuanza Oktoba Mosi

Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inakusudia kudhibiti matukio ya uhalifu yanayohusisha vyombo vya moto kwa kutangaza usajili mpya wa namba za pikipiki za aina zote, zikiwamo bodaboda na bajaji.

 

11 years ago

GPL

MASOMO YA ODPE KUANZA OKTOBA 6‏ MWAKA HUU

·       Ni ya Stashahada ya Ualimu wa shule za Msingi
·       Udahili wote kufanywa na NACTE
·       Wasiruhusiwa na kuzingatia utaratibu kutotambuliwa
·       Waombaji masomo ya Hesabu na Sayansi kupatiwa mikopo Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limetangaza 6 Oktoba kuwa ni tarehe ya kuanza kwa mafunzo ya stashahada ya ualimu wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MAJALIWA KUANZA ZIARA MKOANI TANGA KESHO


MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo leo ambao hawapo pichani kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu

MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa
habari mkoani humo kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu mkoani hapa


WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili jijini Tanga kesho June Mosi Mwaka huu kwa ziara maalum ya kutembelea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani