Masomo ya ODPE Vyuo kuanza Oktoba 6
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2QRhrJIt3k/U8zbO0ExKeI/AAAAAAAF4Tg/LPCuiw5X4fE/s72-c/NACTE+LOGO.jpg)
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limetangaza 6 Oktoba kuwa ni tarehe ya kuanza kwa mafunzo ya stashahada ya ualimu wa shule za msingi (Ordinary Diploma in Primary Education (ODPE)) katika vyuo teule vya majaribio na Stashahada maalumu ya Ualimu wa Sekondari kwa waliomaliza kidato cha nne (Hisabati na Sayansi) itakayoendeshwa katika chuo kikuu cha Dodoma.
Zoezi la uombaji wa mafunzo hayo kwa mwaka 2014/15 lilianza rasmi tarehe 23 June 2014 na litakoma 31 Agosti 2014 na mafunzo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMASOMO YA ODPE KUANZA OKTOBA 6 MWAKA HUU
10 years ago
VijimamboZAIDI WANAFUNZI 100 WAPEWA SEMINA YA KUWAJENGEA UWEZO KUANZA SAFARI YA MASOMO KATIKA VYUO VIKUU VYA INDIA NA CHINA
11 years ago
Michuzi21 Jul
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/411.jpg)
SEMINA YA KUWEZESHA KUMUDU MASOMO YA VYUO VIKUU VYA INDIA, CHINA
9 years ago
Habarileo03 Sep
El-nino kuanza Oktoba
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kunyesha mvua nyingi za El–nino katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Sarafu ya Sh500 kuanza kutumika Oktoba
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-obYroiZv_wE/XslQeQ0z_0I/AAAAAAALrXg/t9BrCe3-52QzOJFpgUoPyGzqW4OWgfntwCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0928-2048x1345.jpg)
MAJALIWA: UPANDAJI RASMI WA MICHIKICHI KUANZA OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-obYroiZv_wE/XslQeQ0z_0I/AAAAAAALrXg/t9BrCe3-52QzOJFpgUoPyGzqW4OWgfntwCLcBGAsYHQ/s640/PMO_0928-2048x1345.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua shughuli za kukuza miche ya michikichi, katika kitalu kilichopo kwenye Gereza la Kwitanga, akiwa katika ziara ya siku moja, iliyolenga kukagua maendeleo ya zao chikichi mkoani Kigoma, May 23 2020 ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_1027-scaled.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua kitalu cha miche ya michikichi, katika shamba la Kikosi 821 Buulombora, akiwa katika ziara ya siku moja, iliyolenga kukagua maendeleo ya zao chikichi mkoani Kigoma, May 23 2020 ( Picha na...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Usajili mpya wa pikipiki kuanza Oktoba Mosi