Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASOMO YA ODPE KUANZA OKTOBA 6‏ MWAKA HUU

·       Ni ya Stashahada ya Ualimu wa shule za Msingi
·       Udahili wote kufanywa na NACTE
·       Wasiruhusiwa na kuzingatia utaratibu kutotambuliwa
·       Waombaji masomo ya Hesabu na Sayansi kupatiwa mikopo Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limetangaza 6 Oktoba kuwa ni tarehe ya kuanza kwa mafunzo ya stashahada ya ualimu wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Masomo ya ODPE Vyuo kuanza Oktoba 6

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limetangaza 6 Oktoba kuwa ni tarehe ya kuanza kwa mafunzo ya stashahada ya ualimu wa shule za msingi (Ordinary Diploma in Primary Education (ODPE)) katika vyuo teule vya majaribio na Stashahada maalumu ya Ualimu wa Sekondari kwa waliomaliza kidato cha nne (Hisabati na Sayansi) itakayoendeshwa katika chuo kikuu cha Dodoma.
Zoezi la uombaji wa mafunzo hayo kwa mwaka 2014/15 lilianza rasmi tarehe 23 June 2014 na litakoma 31 Agosti 2014 na mafunzo...

 

10 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA CP DAY KUFANYIKA OKTOBA 7 MWAKA HUU JIJINI DAR

Makamu  Mwenyekiti wa Chama cha Wazazi Watoto wenye Ulemavu wa mtindio wa Ubongo na akili na Viungo Tanzania (CHAWAUMAVITA) Hillar Said  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya Maadhimisho ya mwaka  huu maadhimisho hayo yatakayofanyika Oktoba 7 mwaka huu katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jjijini Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadicki, kulia ni Katibu (CHAWAUMAVITA) Mwanahamisi Hussen
Mwenyekiti  huyo wa...

 

9 years ago

Michuzi

TASMA KUNOGESHA TAMASHA LA ‘KANDANDA DAY’ OKTOBA 17 MWAKA HUU

CHAMAcha Madaktari wa michezo Tanzania (TASMA) kinatarajia kunogesha tamasha la ‘Kandanda day’ kwa kufanya kliniki siku ya Oktoba 17,mwaka huu katika Viwanja vya TCC Chang’ombe,jijini Dar es Salaam.
Msemaji Mkuu wa tamasha hilo,Mohamed Mkangara,alisema kwamba TASMA kwa kushirikiana na kamati ya kandanda Day wameamua kufanya kliniki hiyo ya wazi ili kuwapa fursa wadau wa michezo kupata mafunzo na kupima afya zao.


“Kamati ya Kandanda day,imeona kuna haja ya kushirikiana na ndugu zetu wa...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS JK MGENI RASMI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.

Mwenyekiti Kamati ya maandalizi ya Amani kuelekea uchaguzi mkuu, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu ujio wa waimbaji solly Mahlangu wa afrika kusini na Ifeanyi Kelechi wa uingereza. Kwaajili ya kutumbuiza matika tamasha hilo.Aidha Msama amesema kuwa katika Tamasha hilo Mgeni rasmi atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Mrisho Kikwete. Kulia ni Mratibu wa maandalizi ya Tamasha la  kuombea amani kuelekea Uchaguzi mkuu utakaofanyika...

 

9 years ago

Michuzi

FAINALI YA BSS 2015 KUFANYIKA OKTOBA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwandaaji  wa   Bongo Star Search, Rita Paulsen akizungumza na waandishi wa habari( hawapo pichani)  juu ya fainali ya (BSS) itakayofanyika Ijumaa ya Oktoba 9 mwaka huu katika ukumbi wa King Solomoni Hall uliopo karibu na Nyumbani Lounge au Eaters Point  eneo la Namanga  kuanzia saa moja jioni kikao hicho kimefanyika leo Jiji Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko  wa Huawei  Samson Majwala. Baadhi ya Wandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini  Mwandaaji  wa Bongo Star Search...

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4 MWAKA HUU.

 Muandaaji wa matamasha hapa nchini Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusiana na maandalizi ya tamashala kuombea amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu. pia amesema kuwa katika tamasha hilo litahuzuliwa na watu mbalimbali akiwemo mwimbaji mahili wa nyimbo za Injili hapa nchini Rose Mhando pamoja na Solomoni mwimbaji wa nyimbo hizo Solomon Mkubwa ameyasema hayo katika ofisi zake zilizopo kinondoni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mjumbe wa kamati ya...

 

9 years ago

Michuzi

FAINALI ZA SHINANDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UCHEKESHAJI KUFANYIKA OKTOBA 3 MWAKA HUU JIJINI DAR



 Meneja mauzo na usambazaji Tanzania Distilleries Ltd  Mwesige Michuruza akizugumza na wanahabari hawapo pichani juu ya fainali ya shindano la “Valeur Comedy Nights” ambalo ni shindano la kusaka vipaji vya sanaa ya uchekesaji. Fainali hiyo itakayofanyika 3 Oktoba mwaka huu  Hongera Baa, Sinza    jijini Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi wa Vuvuzela Company Ltd Evans Bukuku. Afisa Habari BASATA Aristides  Kwizela akisisitiza jambo katika kikao hicho kulia ni Meneja mauzo na usambazaji Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

KESI YA MDEE KUANZA KUUNGURUMA NOVEMBA 16, MWAKA HUU

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam
Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepanga kusikiliza maelezo ya awali dhidi ya  Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wanane wa Chama Cha Demekrasia na Maendeleo wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri halali ya Jeshi la Polisi na kufanya mkusanyiko isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.
 Kesi hiyo ilitajwa leo na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda.Mbali na Mdee, washtakiwa wengine ni, Rose Moshi (45), Renina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani