TASMA KUNOGESHA TAMASHA LA ‘KANDANDA DAY’ OKTOBA 17 MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-P6IrkiUW698/Vh0I3GAz1uI/AAAAAAAH_yQ/vScxLGYgnwo/s72-c/IMG-20151009-WA0013.jpg)
CHAMAcha Madaktari wa michezo Tanzania (TASMA) kinatarajia kunogesha tamasha la ‘Kandanda day’ kwa kufanya kliniki siku ya Oktoba 17,mwaka huu katika Viwanja vya TCC Chang’ombe,jijini Dar es Salaam.
Msemaji Mkuu wa tamasha hilo,Mohamed Mkangara,alisema kwamba TASMA kwa kushirikiana na kamati ya kandanda Day wameamua kufanya kliniki hiyo ya wazi ili kuwapa fursa wadau wa michezo kupata mafunzo na kupima afya zao.
“Kamati ya Kandanda day,imeona kuna haja ya kushirikiana na ndugu zetu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--OJqpBOg9pY/Vf_vf8HeICI/AAAAAAAH6gc/Cp04llrOqiQ/s72-c/CIMG9385.jpg)
MAADHIMISHO YA CP DAY KUFANYIKA OKTOBA 7 MWAKA HUU JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/--OJqpBOg9pY/Vf_vf8HeICI/AAAAAAAH6gc/Cp04llrOqiQ/s640/CIMG9385.jpg)
Mwenyekiti huyo wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YGnPr3SiL_s/Vgaelsuy_rI/AAAAAAAC_sg/01SdPE4dhEk/s72-c/IMG_9377.jpg)
RAIS JK MGENI RASMI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-YGnPr3SiL_s/Vgaelsuy_rI/AAAAAAAC_sg/01SdPE4dhEk/s640/IMG_9377.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SdZj-zxNYwU/VgaekIBSsGI/AAAAAAAC_sY/BO5GGDP7kdI/s640/IMG_9371.jpg)
9 years ago
MichuziTAMASHA LA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4 MWAKA HUU.
9 years ago
MichuziMWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI WA AFRIKA KUSINI SIPHO MWAKABANE KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.
9 years ago
MichuziTAMASHA LA KANDANDA DAY LAFANYIKA LEO JJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wD9MBpyOmPc/Vb46mzN3z6I/AAAAAAAHtU8/QTePdf49JUs/s72-c/aa.png)
KANDANDA DAY 2015 KUFANYIKA OKTOBA 17, 2015 TCC CLUB CHANG'OMBE, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-wD9MBpyOmPc/Vb46mzN3z6I/AAAAAAAHtU8/QTePdf49JUs/s640/aa.png)
mwaka huu,Chang’ombe, Dar es Salaam.
Katika tamasha la mwaka huu,mbali na kuwepo kwa mechi kati ya Timu DizoMoja na Timu Ismail, lakini pia kutakuwa na matukio mbalimbali ya kimichezo na kijamii
yatakayoendelea. Mratibu wa tamasha hilo Patrick Dumulinyi,alitanabaisha kuwa siku hiyo, kutakuwepo na mchezo wa utangulizi ambao utahusisha kituo cha...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_AimqVcz5hE/Vobhx7c-JLI/AAAAAAAIP08/1RWdns8p_Lg/s72-c/4f1928bd-440a-4f85-a1ef-25724e9bd413.jpg)
Kandanda Day 2015 yafungua mwaka kwa kukabidhi vitabu na mipira katika kituo cha watoto.
Baada ya kufanikisha kwa Tamasha la siku ya Kandanda hapo Oktoba 17 mwaka jana, Tamasha lililobeba Ujumbe wa "#OneBallOnTxt Book" ikiwa ni Dhima kamili ya kunyanyua Mchezo wa mpira wa miguu kuanzia ngazi ya shule ya msingi na kuwasisitizia watoto wetu umuhimu wa kusoma pia, Timu nzima ya Wanakandanda imeonelea Kuufungua Mwaka 2016 kwa kwenda kutembelea Kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na kukabidhi Mchango wao ambao ulitokana na mauzo ya fulana za Tamasha la Siku ya...
11 years ago
GPLMASOMO YA ODPE KUANZA OKTOBA 6 MWAKA HUU
·      Ni ya Stashahada ya Ualimu wa shule za Msingi
·      Udahili wote kufanywa na NACTE
·      Wasiruhusiwa na kuzingatia utaratibu kutotambuliwa
·      Waombaji masomo ya Hesabu na Sayansi kupatiwa mikopo Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limetangaza 6 Oktoba kuwa ni tarehe ya kuanza kwa mafunzo ya stashahada ya ualimu wa...
9 years ago
MichuziFAINALI YA BSS 2015 KUFANYIKA OKTOBA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania