TAMASHA LA KANDANDA DAY LAFANYIKA LEO JJINI DAR ES SALAAM
Mgeni rasmi Angetile Osiah akizugumza katika Tamasha la Kandanda Day 2015, hufanyika kila mwaka mwezi oktoba kwa kuzikutanisha Team Ismail (Blue Jersey)na Dizo Moja (White Jersey) lilofanyika katika viwanja vya TCC Sigara, leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Bin Slum Tyres, Nassor Binslum, akionesha makeke yake uwanjani wakati wa Tamasha hilo leo jijini Dar es Salaam.
Wachezaji wa timu Ismail wakionyesha furaha ya ushindi Tamasha hilo leo jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Angetile...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wD9MBpyOmPc/Vb46mzN3z6I/AAAAAAAHtU8/QTePdf49JUs/s72-c/aa.png)
KANDANDA DAY 2015 KUFANYIKA OKTOBA 17, 2015 TCC CLUB CHANG'OMBE, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-wD9MBpyOmPc/Vb46mzN3z6I/AAAAAAAHtU8/QTePdf49JUs/s640/aa.png)
mwaka huu,Chang’ombe, Dar es Salaam.
Katika tamasha la mwaka huu,mbali na kuwepo kwa mechi kati ya Timu DizoMoja na Timu Ismail, lakini pia kutakuwa na matukio mbalimbali ya kimichezo na kijamii
yatakayoendelea. Mratibu wa tamasha hilo Patrick Dumulinyi,alitanabaisha kuwa siku hiyo, kutakuwepo na mchezo wa utangulizi ambao utahusisha kituo cha...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P6IrkiUW698/Vh0I3GAz1uI/AAAAAAAH_yQ/vScxLGYgnwo/s72-c/IMG-20151009-WA0013.jpg)
TASMA KUNOGESHA TAMASHA LA ‘KANDANDA DAY’ OKTOBA 17 MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-P6IrkiUW698/Vh0I3GAz1uI/AAAAAAAH_yQ/vScxLGYgnwo/s640/IMG-20151009-WA0013.jpg)
Msemaji Mkuu wa tamasha hilo,Mohamed Mkangara,alisema kwamba TASMA kwa kushirikiana na kamati ya kandanda Day wameamua kufanya kliniki hiyo ya wazi ili kuwapa fursa wadau wa michezo kupata mafunzo na kupima afya zao.
“Kamati ya Kandanda day,imeona kuna haja ya kushirikiana na ndugu zetu wa...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Tamasha la NHC Family Day lafanyika Kunduchi Beach Hotel
Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano waNHC, Bi Suzan Omari akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo waliokuwa wakisimamia michezo mbalimbali wakati wa tamasha la NHC Family Day lililofanyika kwenye hoteli ya Kunduchi Beach mwishoni mwa wiki likishirikisha wafanyakazi wa shirika hilo jijini Dar es salaam na familia zao na kufahamiana ikiwani pamoja na kubadilishana mawazo.
Wafanyakazi hao wakishindana katika mbio ufukweni.
Mmoja wa wafanyakazi wa NHC akiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7zQmDoSBhM0/U4rfBWQVKpI/AAAAAAAFm38/dFcKNSQ329g/s72-c/unnamed+(12).jpg)
kongamano la kimataifa la wanasayansi lafanyika jijini Dar es Salaam
9 years ago
MichuziBONANZA LA UZAZI WA MPANGO KWA VIJANA LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SvKI_8oz9dY/VK7_6kEykrI/AAAAAAAG8Hw/RBaqxu0QCFk/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
klabu za michezo za maveterani Dar es salaam kurehemu marehemu Jumatatu (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hZC-IKAOeig/VLO66B1c-dI/AAAAAAAG82s/TI1eEykzItY/s72-c/2.jpg)
klabu za michezo za maveterani zarehemu marehemu leo (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-hZC-IKAOeig/VLO66B1c-dI/AAAAAAAG82s/TI1eEykzItY/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BpGrqYQGCts/VLO7AEe27lI/AAAAAAAG83g/ojBLRBZlcr4/s1600/9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EnWsWR3qId8/VLO61Rgea7I/AAAAAAAG82I/4TU3F4FStK4/s1600/10.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SyvsjPhvFW0/U7gHHCHvgfI/AAAAAAAAPOs/TduACNfGZ7E/s72-c/5.jpg)
KONGAMANO LA TATHMINI YA MIAKA 13 YA UTEKELEZAJI WA SERA MPYA YA MAMBO YA NJE LAFANYIKA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-SyvsjPhvFW0/U7gHHCHvgfI/AAAAAAAAPOs/TduACNfGZ7E/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bO7HwGUQ5to/U7gHS5-WZdI/AAAAAAAAPO0/kYva9vBIyFM/s1600/12.jpg)