Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Msihofie El- Nino’

Wakati watabiri wa hali ya hewa wa Marekani wakionya uwezekano wa kutokea kwa maafa ya El Nino, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema viashiria vilivyopo havipaswi kuwatia hofu wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

El-nino kuanza Oktoba

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kunyesha mvua nyingi za El–nino katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba mwaka huu.

 

9 years ago

TheCitizen

Musoma readies itself for El nino

Musoma municipal council has set aside more than Sh38 million to improve its drainage infrastructures as it gets ready for El nino rains.

 

9 years ago

Daily News

TMA confirms El Nino threat


Daily News
TMA confirms El Nino threat
Daily News
THE El Nino weather phenomenon that was detected by international meteorological stations has been confirmed by Tanzania Meteorological Agency (TMA). TMA Director General, Dr Agnes Kijazi, said yesterday in Dar es Salaam that the rising of ...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Kagera watahadharishwa mvua za el nino

WANANCHI wanaoishi maeneo ya mabondeni mkoani Kagera wametahadharishwa juu ya mvua kubwa (el nino) inayotabiriwa kunyesha mwishoni mwa mwezi huu.

Kutokana na hali hiyo, wamehimizwa kusafisha kingo za mifereji ya maji kupunguza mrundikano wa maji. 
Meneja wa utabiri wa hali ya hewa mkoani hapa, Seda Simon, alitoa tahadhari hiyo wakati akizungumza na gazeti hili akisisitiza kuwa TMA imethibitisha kuwepo kwa mvua za el nino katika kipindi hicho.  
Alisema mvua zinazotarajiwa kunyesha...

 

9 years ago

Mwananchi

TMA: Mvua za El-Nino zinakuja

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewatahadharisha wananchi kuwa mvua kubwa za El-Nino zinatarajiwa kunyesha mwezi huu na Desemba, katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nyanda za Juu Kaskazini mashariki.

 

9 years ago

Raia Mwema

Siasa zimetusahaulisha hatari ya El nino

JINSI Watanzania tunavyochukulia kiurahisi tahadhari ya mvua za El – nino ambazo zinategemewa kua

Njonjo Mfaume

 

9 years ago

BBC

El Nino threatens 'millions in Africa'

Some 11 million children are at risk from hunger and disease in east and southern Africa as El Nino causes drought and flooding, the UN says.

 

9 years ago

TheCitizen

Ethiopia: Devastating El Nino rains

Those who remember Ethiopia in the 1980s may feel a disturbing sense of déjà vu. The country is once again facing devastating climatic conditions: rains have failed, millions of people need food aid, children are suffering from severe malnutrition. But this is not the Ethiopia of the 1980s.

 

9 years ago

BBCSwahili

Milioni 18 wameathirika na El Nino A.Mashariki

Wataalam wanasema kwamba watu wasiopungua milioni 18 katika upembe wa Afrika wameathirika na ukame unaotokana na mfumo wa hali ya hewa ya El-Nino.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani