Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMA: Mvua za El-Nino zinakuja

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewatahadharisha wananchi kuwa mvua kubwa za El-Nino zinatarajiwa kunyesha mwezi huu na Desemba, katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nyanda za Juu Kaskazini mashariki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

TMA wasisitiza kuwepo kwa mvua za el- Nino

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeendelea kuwatahadharisha wananchi kuwa mvua kubwa za el-Nino zinatarajiwa kunyesha kuanzia wiki ya mwisho ya Septemba, mwaka huu na mwanzoni mwa mwezi Oktoba kama ilivyokuwa imetabiriwa kutokana na mifumo ya hali ya hewa kuzidi kuonesha hali hiyo.

 

9 years ago

Daily News

TMA confirms El Nino threat


Daily News
TMA confirms El Nino threat
Daily News
THE El Nino weather phenomenon that was detected by international meteorological stations has been confirmed by Tanzania Meteorological Agency (TMA). TMA Director General, Dr Agnes Kijazi, said yesterday in Dar es Salaam that the rising of ...

 

9 years ago

IPPmedia

TMA to unveil El Nino forecast tomorrow


TMA to unveil El Nino forecast tomorrow
IPPmedia
The Tanzania Meteorological Agency (TMA) will tomorrow issue the weather forecast for the next three months calling for better preparations for the expected El Nino rains expected this September through to December. Speaking to journalists shortly ...

 

9 years ago

Habarileo

TMA: El-Nino kuendelea mpaka Aprili mwakani

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA), imeendelea kutoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi mikoa ya Kanda za Ziwa, Kusini na Pwani, kwamba mvua za Vuli zitakazofikia ukubwa wa El-Nino, zinatarajiwa kuendelea kunyesha mpaka Aprili mwakani.

 

9 years ago

TheCitizen

El Nino may batter us up to April next year, TMA warns

The Tanzania Meteorological Agency (TMA) has cautioned over the possibility of El Nino rains falling at any time between now and April next year.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Kagera watahadharishwa mvua za el nino

WANANCHI wanaoishi maeneo ya mabondeni mkoani Kagera wametahadharishwa juu ya mvua kubwa (el nino) inayotabiriwa kunyesha mwishoni mwa mwezi huu.

Kutokana na hali hiyo, wamehimizwa kusafisha kingo za mifereji ya maji kupunguza mrundikano wa maji. 
Meneja wa utabiri wa hali ya hewa mkoani hapa, Seda Simon, alitoa tahadhari hiyo wakati akizungumza na gazeti hili akisisitiza kuwa TMA imethibitisha kuwepo kwa mvua za el nino katika kipindi hicho.  
Alisema mvua zinazotarajiwa kunyesha...

 

10 years ago

Vijimambo

TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi

Dar es Salaam. Mvua kubwa isiyotabirika inatarajiwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hasa katika ukanda wa Pwani ya Kaskazini, maeneo ya Dar es Salaam, Tanga, Unguja na Pemba; pia katika ukanda wa Kaskazini Mashariki kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara.Akitoa taarifa ya hali ya hewa jana kwa Januari na Februari mwaka ujao, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agness Kijazi alisema mvua ya msimu katika maeneo hayo inatarajiwa kwisha leo.Hata hivyo,...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali ijipange kukabili mvua za El Nino

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imetoa tahadhari ambayo Serikali na taasisi zake zinapaswa kuifanyia kazi haraka iwezekanavyo. Mamlaka hiyo imesema Tanzania ni moja ya nchi kadhaa barani Afrika zitakazokumbwa na mvua za El Nino

 

9 years ago

Mwananchi

Tumejiandaa vipi kwa mvua za el nino

Mvua zimeanza kutikisa maeneo ya Kanda ya Ziwa kama ilivyotabiriwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuwa kutakuwa na mvua za ukubwa zaidi ya matarajio katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani