TMA: Mvua za El-Nino zinakuja
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewatahadharisha wananchi kuwa mvua kubwa za El-Nino zinatarajiwa kunyesha mwezi huu na Desemba, katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nyanda za Juu Kaskazini mashariki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Sep
TMA wasisitiza kuwepo kwa mvua za el- Nino
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeendelea kuwatahadharisha wananchi kuwa mvua kubwa za el-Nino zinatarajiwa kunyesha kuanzia wiki ya mwisho ya Septemba, mwaka huu na mwanzoni mwa mwezi Oktoba kama ilivyokuwa imetabiriwa kutokana na mifumo ya hali ya hewa kuzidi kuonesha hali hiyo.
9 years ago
Daily News12 Sep
TMA confirms El Nino threat
Daily News
Daily News
THE El Nino weather phenomenon that was detected by international meteorological stations has been confirmed by Tanzania Meteorological Agency (TMA). TMA Director General, Dr Agnes Kijazi, said yesterday in Dar es Salaam that the rising of ...
9 years ago
IPPmedia01 Sep
TMA to unveil El Nino forecast tomorrow
IPPmedia
The Tanzania Meteorological Agency (TMA) will tomorrow issue the weather forecast for the next three months calling for better preparations for the expected El Nino rains expected this September through to December. Speaking to journalists shortly ...
9 years ago
Habarileo19 Dec
TMA: El-Nino kuendelea mpaka Aprili mwakani
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA), imeendelea kutoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi mikoa ya Kanda za Ziwa, Kusini na Pwani, kwamba mvua za Vuli zitakazofikia ukubwa wa El-Nino, zinatarajiwa kuendelea kunyesha mpaka Aprili mwakani.
9 years ago
TheCitizen19 Dec
El Nino may batter us up to April next year, TMA warns
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Kagera watahadharishwa mvua za el nino
WANANCHI wanaoishi maeneo ya mabondeni mkoani Kagera wametahadharishwa juu ya mvua kubwa (el nino) inayotabiriwa kunyesha mwishoni mwa mwezi huu.
Kutokana na hali hiyo, wamehimizwa kusafisha kingo za mifereji ya maji kupunguza mrundikano wa maji.
Meneja wa utabiri wa hali ya hewa mkoani hapa, Seda Simon, alitoa tahadhari hiyo wakati akizungumza na gazeti hili akisisitiza kuwa TMA imethibitisha kuwepo kwa mvua za el nino katika kipindi hicho.
Alisema mvua zinazotarajiwa kunyesha...
10 years ago
Vijimambo31 Dec
TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2574130/highRes/911159/-/maxw/600/-/pxc51bz/-/kimbunga_mvua.jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Serikali ijipange kukabili mvua za El Nino
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Tumejiandaa vipi kwa mvua za el nino