Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milioni 18 wameathirika na El Nino A.Mashariki

Wataalam wanasema kwamba watu wasiopungua milioni 18 katika upembe wa Afrika wameathirika na ukame unaotokana na mfumo wa hali ya hewa ya El-Nino.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Zaidi ya watu milioni moja wameathirika duniani

Idadi ya walioambukizwa imekuwa mara mbili zaidi katika kipindi cha chini ya juma moja, kwa mujibu wa takwimu za sasa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wasichana na wanawake milioni 130 wakeketwa barani Afrika na mashariki ya kati

DSC03971

Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Sofia Simba (Mb), akizungumza kwenye ufunguzi wa kongamano la siku mbili la maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kukomesha ukeketaji linalofanyika mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Waziri Simba, amewataka wafanyakazi wa afya wanaojishughulisha na vitendo vya ukeketaji kuacha mara moja vitendo hivyo kwa madai ni kinyume na haki za binadamu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

WAZIRI wa  Maendeleo ya jamii, jinsia na watoto,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Robo ya wasudan Kusini wameathirika na njaa

Zaidi ya watu milioni mbili unusu wanahitaji chakula cha msaada cha dharura

 

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dk. Bilal achangisha Shs. 105 milioni kuhifadhi vyanzo vya maji milima ya Tao la Mashariki

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo Maalum, Mshauri wa kampuni ya VIP Engineering & Marketing, Fr. James Rugemalira, wakati wa hafla ya Uchangishaji fedha kwa Uhifadhi wa vyanzo vya maji katika Mabwawa ya kuzalisha Umeme ya Mtera, Kihansi, Kidatu, Nyumba ya Mungu na Pangani, iliyofanyika jana usiku Sept 28, 2015 kwenye Hoteli ya Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. (Picha zote na OMR).

Na Daniel Mbega wa...

 

9 years ago

Bongo5

Sugua Gaga ya Shaa yawa video ya muziki ya kwanza kutoka Afrika Mashariki kufikisha views milioni 20 kwenye Youtube

Video ya wimbo wa Shaa, Sugua Gaga imekuwa video ya kwanza ya mwanamuziki kutoka Afrika Mashariki kufikisha views zaidi ya milioni 20 kwenye mtandao wa Youtube. Video hiyo iliyoongozwa na Adam Juma iliwekwa kwenye mtandao huo March 24, 2014. Hadi Jumanne hii, video hiyo ilikuwa imetazamwa mara 20,311,199. Video ya pili iliyotazamwa zaidi ni ya […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini Wamarekani weusi wameathirika zaidi na virusi?

Jijini Chicago asilimia 68 ya waliofariki kutokana na corona ni Wamarekani weusi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Msihofie El- Nino’

Wakati watabiri wa hali ya hewa wa Marekani wakionya uwezekano wa kutokea kwa maafa ya El Nino, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema viashiria vilivyopo havipaswi kuwatia hofu wananchi.

 

9 years ago

Habarileo

El-nino kuanza Oktoba

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kunyesha mvua nyingi za El–nino katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba mwaka huu.

 

9 years ago

TheCitizen

Musoma readies itself for El nino

Musoma municipal council has set aside more than Sh38 million to improve its drainage infrastructures as it gets ready for El nino rains.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani