Wasichana na wanawake milioni 130 wakeketwa barani Afrika na mashariki ya kati
Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Sofia Simba (Mb), akizungumza kwenye ufunguzi wa kongamano la siku mbili la maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kukomesha ukeketaji linalofanyika mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Waziri Simba, amewataka wafanyakazi wa afya wanaojishughulisha na vitendo vya ukeketaji kuacha mara moja vitendo hivyo kwa madai ni kinyume na haki za binadamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAZIRI wa Maendeleo ya jamii, jinsia na watoto,...
Dewji Blog
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania