Rais wa zamani wa Liberia, Ellen Sirleaf na mkakati wa kuwasaidia wanawake viongozi barani Afrika
![](https://1.bp.blogspot.com/-IQjeh0DLSfM/XmK3bQPSRUI/AAAAAAALhpY/B7nmTJHtyVcv7lOE6efvLwIxQxqtQ4ZYwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpm6f8e4044a8117r2_800C450.jpg)
Bi Ellen Johnson Sirleaf Rais wa zamani wa Liberia Jumapili ijayo ataanzisha mpango wa kuwasaidia wanawake wa Kiafrika kufikia nyadhifa za juu katika bara hilo linalodhibiwa na marais wanaume.
Bi Sirleaf ambaye ni mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel mwaka 2006 alikuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa rais wa nchi barani Afrika mwaka 2006. Aliondoka madarakani mwaka 2018 katika nchi ya Liberia iliyowahi kuathiriwa na vita kupitia mchakato wa kwanza wa amani wa kukabidhi madaraka nchini humo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-PmU6dqVhZGc/U9ce33mnFyI/AAAAAAAAGi4/rZzOIQRJjVE/s1600/IMG-20140728-WA0006.jpg?width=480)
RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA AZUNGUMZA NA VIONGOZI VIJANA TOKA BARANI AFRIKA
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s72-c/w1.jpg)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--99HsdIinyU/U-JSpsBc8zI/AAAAAAACm6c/WRZHxk6HhCQ/s1600/w2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzOJdcH2t3Q/U-JSzBmSTzI/AAAAAAACm64/qIQOvCLbufI/s1600/w4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YPY62IRGZGM/U-JSwO_f7GI/AAAAAAACm6w/Zq2FHZgvBbQ/s1600/w5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jUW7OXuce9k/U-JS1Ohnr9I/AAAAAAACm7A/KnShrBQRpyA/s1600/w6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Wasichana na wanawake milioni 130 wakeketwa barani Afrika na mashariki ya kati
Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Sofia Simba (Mb), akizungumza kwenye ufunguzi wa kongamano la siku mbili la maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kukomesha ukeketaji linalofanyika mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Waziri Simba, amewataka wafanyakazi wa afya wanaojishughulisha na vitendo vya ukeketaji kuacha mara moja vitendo hivyo kwa madai ni kinyume na haki za binadamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAZIRI wa Maendeleo ya jamii, jinsia na watoto,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o3Ity6T79Aw/U8dNuPrCQII/AAAAAAAAGEo/R7s-6ahKLBo/s72-c/IMG-20140714-WA0022.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI ASHIRIKI MDAHALO WA VIONGOZI WADOGO BARANI AFRIKA NCHINI MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-o3Ity6T79Aw/U8dNuPrCQII/AAAAAAAAGEo/R7s-6ahKLBo/s1600/IMG-20140714-WA0022.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2uMQx2l46YA/U8dWCmQ3vOI/AAAAAAAAGGY/k8yETdhw074/s1600/IMG-20140714-WA0019.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jppTP0pqCy4/U8dWL0qKy3I/AAAAAAAAGGg/3MTRvFb6nEs/s1600/IMG-20140714-WA0018.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlI-oB2-tGcG1qsj1ySJUjn1h*hITlMKASHwTC9lhAf9amgh4wiotg3xINuxQOaUWN3V0noaV0KGOSV3BB0m13Q/Rais1.jpg?width=650)
RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA TUZO YA KIONGOZI BORA BARANI AFRIKA.
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
Rais Kikwete atunukiwa Tuzo ya Kudumisha Utawala Bora Barani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Jitihada za muongo mzima wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuimarisha na kudumisha Utawala Bora katika Tanzania zimetambuliwa kimataifa kwa Rais kutunukiwa Tuzo la Utawala Bora Barani Afrika mwaka 2015 (Good Governance in Africa.)
Rais Kikwete ametunukiwa Tuzo hiyo na Taasisi ya African Achievers Awards yenye makao yake makuu katika Afrika Kusini kutokana na kutambua mchango...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI
10 years ago
Vijimambo22 Oct
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA RASMI WARSHA KUHUSU AMANI NA USALAMA BARANI AFRIKA