‘Wanawake Afrika fuatilieni maendeleo ya wasichana’
MKE wa Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) nchini, Celine Mpango amewataka wanawake wa Afrika kutambua kuwa jukumu la kuwafuatilia wasichana katika maendeleo ya nchi ni la kwao na kamwe wasikubali kuwaacha nyuma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Wasichana na wanawake milioni 130 wakeketwa barani Afrika na mashariki ya kati
Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Sofia Simba (Mb), akizungumza kwenye ufunguzi wa kongamano la siku mbili la maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kukomesha ukeketaji linalofanyika mjini Singida. Pamoja na mambo mengine, Waziri Simba, amewataka wafanyakazi wa afya wanaojishughulisha na vitendo vya ukeketaji kuacha mara moja vitendo hivyo kwa madai ni kinyume na haki za binadamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAZIRI wa Maendeleo ya jamii, jinsia na watoto,...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Maendeleo ya wanawake majuu na ushindi wa Wajerumani ni somo gani kwetu Afrika?
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s72-c/DSC_0109.jpg)
SHIRIKA LA WANAWAKE KATIKA SHERIA NA MAENDELEO AFRIKA (WiLDAF) LAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA JIJINI DSM
![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s640/DSC_0109.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y5Gw2Pie7oU/VHWP5xyarHI/AAAAAAAAEPI/7uM3CLWMNVw/s640/DSC_0092.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pQHnVTcvmwQ/VHWP5FBKEoI/AAAAAAAAEPE/WgWYcK_r31E/s640/DSC_0081.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c2cSKszMHyg/VHWP3pKmQKI/AAAAAAAAEO8/3CAC-J6o65Y/s640/DSC_0060.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s72-c/DSC_0109.jpg)
SHIRIKA LA WANAWAKE KATIKA SHERIA NA MAENDELEO AFRIKA (WiLDAF) LAADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-spXukFc-ecU/VHWP7BBQX5I/AAAAAAAAEPU/u43egox-L44/s1600/DSC_0109.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c2cSKszMHyg/VHWP3pKmQKI/AAAAAAAAEO8/3CAC-J6o65Y/s1600/DSC_0060.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ja1_n6Tm5iE/VHWP9B-0vtI/AAAAAAAAEPk/AjG-ikK4YSU/s1600/DSC_0159.jpg)
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA (TCDC) WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa na Bango la maandamano lenye Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa katika maandamano...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3VBFmmSqIbU/VDr2r_pvjVI/AAAAAAAGpoU/kazx_JHtPiw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 (SHILINGI BILIONI 20.1) KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA
11 years ago
Dewji Blog26 May
Tutashiriki katika ujenzi wa Afrika yenye umoja, mshikamano na miundombinu stahili — Benki ya Maendeleo Afrika
Katibu Mkuu Dkt.Servacius Likwelile akiwa na Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Kanda ya Afrika Mashariki Nd. Gabriel Negatu katika Mkutano uliofanyika katika ukumb wa Ecobank Jijini Kigali Rwanda.
Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akijadiliana jambo na mmoja wa washiriki wa Mkutano wa 49 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika unafanyika Kigali Rwanda. Pembeni ni mwa Waziri ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile na msaidizi wa Waziri Bw.Thomas Mabeba.
Waziri...
10 years ago
VijimamboBENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 SAWA NA FEDHA ZA KITANZANIA SHILINGI BILIONI 20.1 KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA