Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siasa zimetusahaulisha hatari ya El nino

JINSI Watanzania tunavyochukulia kiurahisi tahadhari ya mvua za El – nino ambazo zinategemewa kua

Njonjo Mfaume

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

'Siasa uchwara ni hatari kwa nchi'

WASOMI, wanadiplomasia na viongozi wa dini wameasa wanasiasa kuwa makini na usalama wa taifa kwa kuhakikisha tofauti za vyama vyao, hazidhoofishi utaifa na maslahi ya nchi. Wamehadharisha juu ya kile kilichoitwa ‘siasa uchwara’ na propaganda, wakisema ikifika hatua ya wanasiasa kuonesha tofauti hadharani juu ya masuala yanayogusa maslahi na usalama wa nchi, ni jambo la hatari na haileti picha nzuri usoni mwa mataifa mengine.

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu

SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Msihofie El- Nino’

Wakati watabiri wa hali ya hewa wa Marekani wakionya uwezekano wa kutokea kwa maafa ya El Nino, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema viashiria vilivyopo havipaswi kuwatia hofu wananchi.

 

9 years ago

TheCitizen

Musoma readies itself for El nino

Musoma municipal council has set aside more than Sh38 million to improve its drainage infrastructures as it gets ready for El nino rains.

 

9 years ago

Habarileo

El-nino kuanza Oktoba

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kunyesha mvua nyingi za El–nino katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba mwaka huu.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Kagera watahadharishwa mvua za el nino

WANANCHI wanaoishi maeneo ya mabondeni mkoani Kagera wametahadharishwa juu ya mvua kubwa (el nino) inayotabiriwa kunyesha mwishoni mwa mwezi huu.

Kutokana na hali hiyo, wamehimizwa kusafisha kingo za mifereji ya maji kupunguza mrundikano wa maji. 
Meneja wa utabiri wa hali ya hewa mkoani hapa, Seda Simon, alitoa tahadhari hiyo wakati akizungumza na gazeti hili akisisitiza kuwa TMA imethibitisha kuwepo kwa mvua za el nino katika kipindi hicho.  
Alisema mvua zinazotarajiwa kunyesha...

 

9 years ago

BBC

Worries grow over 'strongest El Nino'

As the impacts of a powerful El Nino linger into 2016, there are concerns about increased food insecurity across Africa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani