Mwanamke atupa kichanga chooni
WATOTO wawili wachanga wamekufa katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani hapa, likiwemo la mmoja kutupwa chooni na mama mzazi mara ya baada ya kuzaliwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Mwanafunzi KCMC atupa kichanga pipa la uchafu
MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza shule ya viungo KCMC mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, Rachel Malima (22), amewekwa chini ya uangalizi maalumu wa madaktari baada ya kujifungua na kumtelekeza mtoto kwenye...
11 years ago
GPLKICHANGA KILICHOOPOLEWA CHOONI TANGA CHATIMIZA MWEZI MMOJA
11 years ago
Habarileo28 Jan
Mwanamke atuhumiwa kuiba ‘kichanga’
MKAZI wa Bunju B, Grace Chapanga(34), anashikiliwa na Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja. Kamanda wa Kanda hiyo, Kamishna wa Polisi Suleiman Kova alisema Chapanga alimuiba mtoto huyo, Veis Venus Desemba 27 mwaka jana katika maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo12 Dec
Mama atupa watoto watatu porini
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.
9 years ago
Bongo Movies22 Sep
Wolper Atupa Dongo Upande wa Pili
Haya ndiyo maneno ya aliypoyaandika staa wa Bongo Movies,‘Jacqueline Lowassa’ kwenye ukurasa wake wa instagram.
"Mama ongea na mwanao….Sasa mama kaongea na mimi nimemwambia nataka mabadiliko ..nimempa sababu zangu kwann nataka mabadiliko kwa manufaa yangu mimi na Taifa langu Mama kanielewa na ameungana na mimi kuchagua mabadiliko".
Bila shaka wanaofuatilia siasa za wanabongo movies hawa watakuwa wamemuelewa.
Mzee wa Ubuyu
9 years ago
Bongo Movies19 Sep
Ray Atupa 'Kijembe' kwa Wanamabadiliko
Leo nimekutana na vitu vya ajabu sana kwa hawa wana mabadiliko, kuna mmoja nilimuuliza why unataka mabadilko , akanijibu hivi eti nimekatwa mshahara kwa hiyo naichukia CCM nataka mabadiliko tena kakatwa mshahara kwa uzembe wake tu anailaumu serikali wa pili nikamuuliza naye why unataka mabadiliko, akanjibu ahaaa mimi sipati milo mitatu naichukia CCM wakati huo nimeenda kwake ilikuwa ni saa saba mchana bado yuko kitandani nilicheka sana na wengi wao ndio wako hivi wafuata mkumbo ndio maaana...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Jaji atupa hoja za utetezi kesi ya Mwalle
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, imetupilia mbali pingamizi lililotolewa na mawakili wa utetezi katika kesi inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu.
Jaji Gadi Mjemas alitoa uamuzi huo jana aliposikiliza mashahidi wa pande zote mbili baada ya kutokea mvutano wa sheria ulioibua kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi kuhusiana na kupokelewa maelezo ya mshitakiwa wa nne, Elias Ndejembi.
Jaji Mjemas alisema baada ya kusikiliza pande zote mbili,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbf6etDLxcKtmIbX0yhcvqWKeWbfDvcvLNfChumC*t0iUVLJA3yxKBHctmbJo-PqLl4k1-bw3TFxrfZtnacCD4Cl/104.jpg?width=650)
MAMA ATUPA MTOTO, KISA UGOMVI WA MAPENZI!
11 years ago
Habarileo02 Aug
Atupa mtoto wa siku moja kulinda ndoa yake
MTOTO wa kike mwenye umri wa siku moja amenusurika kufa baada ya kuokolewa na wasamaria kutoka katika shimo alimotupwa na mama yake mzazi.