Jaji atupa hoja za utetezi kesi ya Mwalle
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, imetupilia mbali pingamizi lililotolewa na mawakili wa utetezi katika kesi inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu.
Jaji Gadi Mjemas alitoa uamuzi huo jana aliposikiliza mashahidi wa pande zote mbili baada ya kutokea mvutano wa sheria ulioibua kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi kuhusiana na kupokelewa maelezo ya mshitakiwa wa nne, Elias Ndejembi.
Jaji Mjemas alisema baada ya kusikiliza pande zote mbili,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Jaji amwonya wakili kesi ya Mwalle
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
JAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, amemwonya na kumtaka Wakili wa Jamhuri, Pius Hilla, amuulize shahidi wake kuhusu kesi iliyopo mahakamani na si kuuliza juu ya mafunzo.
Jaji Mjemas alitoa kauli hiyo jana mjini hapa wakati akisikiliza ushahidi wa shahidi wa pili wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga, katika kesi inayoendelea kusikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania,...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Jamhuri yakata rufaa kesi ya Wakili Mwalle
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya utakatishaji fedha haramu inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, wamewasilisha kusudio la kukata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania dhidi ya uamuzi wa Jaji Gadi Mjemas wa kukataa kuvipokea baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani.
Vielelezo hivyo viliwasilishwa mahakamni hapo na shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga wiki iliyopita.
Uamuzi huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Jaji Mjemas...
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Hoja za Jaji Warioba mateso Bunge Maalumu
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Jaji Warioba: Kikwete asitumike kuzima hoja
SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amejibu akisema si busara kutumia vibaya jina la Rais Jakaya...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Jaji Warioba aunguruma Mwanza, ataka majibu ya hoja zake
9 years ago
Vijimambo22 Oct
Mahakama leo kusikiliza hoja kesi mita 200 vituoni.
![](http://www.itv.co.tz/media/image/Mahakama.jpg)
Katika kesi hiyo namba 37 ya mwaka huu, mlalamikaji anaiomba mahakama itoe tafsiri ya kifungu cha 104 kidogo cha (1) cha Sheria ya Uchaguzi kama kinazuia ama la wananchi kukaa umbali wa mita 200 baada ya kupiga kura katika vituo vyao....
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kesi ya Simba yapangiwa jaji
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imempa Jaji Augustine Mwarija kusikiliza kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa Simba, ambao wanaiomba itoe amri ya muda kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Jaji ajitoa kesi ya mfanyabiashara
JAJI Bethuel Mmila amejitoa katika jopo la majaji watano, wanaosikiliza rufaa ya mfanyabiashara Kibute Otienyeri, anayepinga adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kunajisi.
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Jaji kesi ya Kisena, Msama abanwa
SIKU chache baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema kusema sio sahihi kwa Jaji wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi kupingana na Jaji mwenzake wa Mahakama Kuu kwa kuwa...