Hoja za Jaji Warioba mateso Bunge Maalumu
Kero za Muungano na taasisi zake zilizotajwa na mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zimekuwa zikiwatesa wajumbe wa Bunge Maalumu katika mijadala ya rasimu ya Katiba inayoendelea kwenye kamati za chombo hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Jaji Warioba: Kikwete asitumike kuzima hoja
SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amejibu akisema si busara kutumia vibaya jina la Rais Jakaya...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Jaji Warioba aunguruma Mwanza, ataka majibu ya hoja zake
10 years ago
Mtanzania12 Sep
Jaji Warioba: Bunge lisitishwe
![Jaji Joseph Warioba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jaji-Warioba.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema ni vyema Bunge Maalumu la Katiba likasitishwa kwani Katiba bora haiwezi kupatikana kwa muda wa wiki mbili.
Kauli hiyo ya Jaji Warioba imekuja siku moja baada ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kumtaka Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta, kulisitisha, huku mwenyewe akisema litaendelea na hadi kufikia Oktoba 4 Katiba inayopendekezwa...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Jaji Warioba ateka Bunge
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Jaji Warioba kuhutubia Bunge
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni za bunge maalumu wakijibu hoja za wabunge leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-UE3Zmn5Bb_s/UxdUxKXcrdI/AAAAAAAFRTg/eLFdA5MkiX0/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jCfLAQe5Xq4/UxdUzagPmqI/AAAAAAAFRTo/nij5QXGgzbE/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HF6tF1v14vk/UxdU1iUHNvI/AAAAAAAFRTw/GZqAyefgfRw/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jcpvCHCvNts/UxdWAL7446I/AAAAAAAFRT8/ZYkR1Xoqsco/s1600/unnamed+(46).jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Jun
TUCTA: Bunge liheshimu Rasimu ya Jaji Warioba
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Nape atofautiana na Jaji Warioba Bunge la Katiba