Jaji kesi ya Kisena, Msama abanwa
SIKU chache baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema kusema sio sahihi kwa Jaji wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi kupingana na Jaji mwenzake wa Mahakama Kuu kwa kuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Jaji kesi ya Msama, Kisena awaka
JAJI wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, Robert Mziray, amekuja juu kulalamikia taarifa za uamuzi alioutoa katika kesi ya mmiliki wa Kampuni ya UDA, Robert Kisena, mfanyabiashara, Alex Msama na...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Majaji wakorogana kesi ya Kisena, Msama
JAJI wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, Robert Mziray, anayesikiliza kesi ya mzozo wa ardhi kati ya mmiliki wa Kampuni ya UDA, Robert Kisena na mfanyabiashara, Alex Msama, amedaiwa kutoa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Kisena afungua kesi nyingine dhidi ya Msama
MMILIKI wa Kampuni ya Usafiri ya UDA, Robert Kisena, amefungua kesi nyingine Mahakama Kuu dhidi ya mfanyabiashara, Alex Msama na wenzake watatu kuhusu mgogoro wa kiwanja kilichopo eneo la Mbagala...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Msama kuwalipua vigogo nyuma ya Kisena
MZOZO wa kiwanja eneo la Kokoto-Mbagala, unaomhusisha mfanyabiashara mmiliki wa Kampuni ya UDA, Robert Kisena na Alex Msama, umeingia katika hatua mpya baada ya Msama kuahidi kuwaanika vigogo aliodai wako...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kesi ya Simba yapangiwa jaji
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imempa Jaji Augustine Mwarija kusikiliza kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa Simba, ambao wanaiomba itoe amri ya muda kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Jaji ajitoa kesi ya mfanyabiashara
JAJI Bethuel Mmila amejitoa katika jopo la majaji watano, wanaosikiliza rufaa ya mfanyabiashara Kibute Otienyeri, anayepinga adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kunajisi.
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Jaji amwonya wakili kesi ya Mwalle
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
JAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu, amemwonya na kumtaka Wakili wa Jamhuri, Pius Hilla, amuulize shahidi wake kuhusu kesi iliyopo mahakamani na si kuuliza juu ya mafunzo.
Jaji Mjemas alitoa kauli hiyo jana mjini hapa wakati akisikiliza ushahidi wa shahidi wa pili wa Jamhuri, Suleiman Nyakulinga, katika kesi inayoendelea kusikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania,...
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Jaji aruhusu kesi ya 50 cent kundelea
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Jaji ahoji wingi wa kesi za Ponda