Msama kuwalipua vigogo nyuma ya Kisena
MZOZO wa kiwanja eneo la Kokoto-Mbagala, unaomhusisha mfanyabiashara mmiliki wa Kampuni ya UDA, Robert Kisena na Alex Msama, umeingia katika hatua mpya baada ya Msama kuahidi kuwaanika vigogo aliodai wako...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Jaji kesi ya Msama, Kisena awaka
JAJI wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, Robert Mziray, amekuja juu kulalamikia taarifa za uamuzi alioutoa katika kesi ya mmiliki wa Kampuni ya UDA, Robert Kisena, mfanyabiashara, Alex Msama na...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Jaji kesi ya Kisena, Msama abanwa
SIKU chache baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema kusema sio sahihi kwa Jaji wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi kupingana na Jaji mwenzake wa Mahakama Kuu kwa kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Majaji wakorogana kesi ya Kisena, Msama
JAJI wa Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, Robert Mziray, anayesikiliza kesi ya mzozo wa ardhi kati ya mmiliki wa Kampuni ya UDA, Robert Kisena na mfanyabiashara, Alex Msama, amedaiwa kutoa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Kisena afungua kesi nyingine dhidi ya Msama
MMILIKI wa Kampuni ya Usafiri ya UDA, Robert Kisena, amefungua kesi nyingine Mahakama Kuu dhidi ya mfanyabiashara, Alex Msama na wenzake watatu kuhusu mgogoro wa kiwanja kilichopo eneo la Mbagala...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Mahakama yamuonya Robert Kisena
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imemwonya mmiliki wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), Robert Kisena, aache kuvunja amri ya Mahakama kwa kuendelea na ujenzi katika eneo la Kokoto...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Ni kwanini serikali inamwogopa Kisena?
BOB Kisena amepata umaarufu kutokana na kashfa zenye utata na za hovyo. Moja ya sababu zilizofanya awe maarufu ni ile hali ya kujipatia lililokuwa Shirika la Usafiri Dar es Salaam...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Kisena aangukia pua Mahakama Kuu
MAHAKAMA Kuu imetupilia mbali kesi mpya iliyofunguliwa na mmiliki wa Kampuni ya usafirishaji ya UDA, Robert Kisena dhidi ya mfanyabiashara Alex Msama na wenzake watatu kuhusu mgogoro wa kiwanja kilichopo...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Jeuri ya Kisena dhidi ya mahakama inatoka wapi?
MSOMI wa sheria aliyepata kuwa jaji wa Mahakama Kuu nchini, marehemu Kahwa Lugakingira, katika moja ya kauli zake alipata kusema kuwa “mahakama ni kisima cha haki na kila mwenye kiu...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Msama ampongeza Mwakyembe
MKURUGENZI wa Msama Promotions, Alex Msama, amempongeza Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kwa kujenga na kuimarisha sekta ya usafirishaji wa anga nchini. Alitoa pongezi hizo siku chache baada ya...