Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msama ampongeza Mwakyembe

MKURUGENZI wa Msama Promotions, Alex Msama, amempongeza Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kwa kujenga na kuimarisha sekta ya usafirishaji wa anga nchini. Alitoa pongezi hizo siku chache baada ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Msama ampongeza Mwakyembe kuifufua ATCL

Mkurugenzi wa Msama Promotins Alex Msama (kulia),  akiwa na Mratibu wa Tamasha la Pasaka John Melele, wakifurahia kusafiri na Jet 103 ndege ya ATCL hivi karibuni. 
SERIKALI kupitia Wizara ya Uchukuzi inayoongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe inastahili, pongezi kwa kupiga hatua kubwa kujenga na kuimarisha sekta ya usafirishaji wa anga nchini.
Mkurugenzi wa Msama Promotins Alex Msama, ametoa pongezi hizo siku chache baada ya Wizara hiyo kuendelea kuonesha mafanikio makubwa katika utoaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msama atoka Muhimbili

MKURUGENZI wa Msama Promotions Ltd ya jijini Dar es Salaam, Alex Msama, aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, ameruhusiwa baada ya kupata nafuu dhidi ya maumivu ya ajali aliyopata...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu ampongeza Kificho

Askofu wa Kanisa la Pentecoste Holiness Association Mission (PHAM) Kanda ya Kati, Julius Bundala amempongeza aliyekuwa Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho kwa kuliongoza bunge hilo kwa umakini bila ya kutumia kanuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwambungu ampongeza mkandarasi

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu, amepongeza mradi wa ujenzi wa majengo ya Shule ya Sekondari Unberkant iliyopo kwenye Kata ya Mtipwili wilayani Nyasa mkoani hapa unaofanywa na Kampuni...

 

10 years ago

Vijimambo

Nape ampongeza Lowassa.

Siku moja baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kusitisha makundi yanayokwenda kumshawishi kugombea urais, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, amempongeza kwa kutii agizo la chama hicho.

Nape amesema hatua hiyo ya Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli ni nzuri kwa kuamua kusitisha makundi kwenda kumshawishi agombee urais, ambayo kwa siku chache mfululizo yalikwenda nyumbani kwake Monduli na mjini Dodoma kwa nia hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari jana akiwa katika...

 

11 years ago

Habarileo

Balozi wa China ampongeza JK

BALOZI wa China nchini, Lu Youqing amempongeza Rais Jakaya Kikwete, kwa kile alichosema ni kazi yake kubwa anayoifanya kusimamia shughuli za ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami, jambo ambalo litasaidia kurahisisha upatikanaji wa maendeleo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC Tunduru ampongeza mwekezaji

MKUU wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, Chande Nalicho, amempongeza Mwekezaji wa nyumba ya kulala wageni ya Peramiho, Faustin Chale kwa uwekezaji alioufanya wilayani hapo. Alisema ujasiri wa mwekezaji huyo...

 

11 years ago

GPL

ALEX MSAMA APATA AJALI

Alex Msama akiwa hospitali baada ya ajali. Kulia ni Mwenyekiti wa Bongo Movies, Steve Nyerere. Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka wakati akielekea mkoani Dodoma. Kwa sasa Msama anapatiwa matibabu katika hospitali moja mjini…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani