Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwambungu ampongeza mkandarasi

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu, amepongeza mradi wa ujenzi wa majengo ya Shule ya Sekondari Unberkant iliyopo kwenye Kata ya Mtipwili wilayani Nyasa mkoani hapa unaofanywa na Kampuni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mwambungu akipongeza chuo cha Mt. Joseph

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu, amekipongeza chuo kikuu cha sayansi ya kompyuta cha Mtakatifu Joseph Tawi la Songea kwa jitihada zake za kuendelea kupanua wigo wa kutoa huduma...

 

9 years ago

Habarileo

Mkandarasi umeme abanwa

SERIKALI imemwagiza mkandarasi anayeshughulikia Mradi wa Umeme Vijijini (REA) mkoani Singida, Spencon ya nchini Kenya kukamilisha ujenzi huo ifikapo Mei 31 mwaka huu vinginevyo atachukuliwa hatua za kisheria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ambana mkandarasi

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka mkandarasi aliyeingia mkataba wa mradi mkubwa wa maji kutoka Mlandizi hadi kwenye matenki ya Kimara na Mtaa wa Kwembe, aharakishe na kuukamilisha kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Naibu Waziri ambana mkandarasi

NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Dk Chales Tizeba amemtaka Mkandarasi Pet Construction Limited kukamilisha haraka ujenzi wa mradi wa maji katika Jimbo la Buchosa.

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri amtimua mkandarasi Dar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amemtimua kazi mkandarasi anayejenga mfereji wa Buguruni kwa Mnyamani, Manispaa ya Ilala kwa kushindwa kuujenga kwa kiwango kinachotakiwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkandarasi asimamishwa kujenga maabara

KAMPUNI ya UK General Services, imesimamishwa kuendelea na ujenzi wa maabara katika shule ya Sekondari ya Mbugani kutokana na kushindwa kukidhi vigezo. Akizungumza jijini hapa jana, Mjumbe wa Kamati ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kumwajibisha mkandarasi aliyetoroka

WIZARA ya Maji imetakiwa kumchukulia hatua za kinidhamu mkandarasi wa mradi wa maji wilayani Meatu aliyetoroka kazini. Ushauri huo ulitolewa bungeni jana na Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa...

 

9 years ago

Habarileo

RC amjia juu mkandarasi ‘mzembe’

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amemjia juu mkandarasi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya Ruaha - Sali, wilayani Ulanga kwa kushindwa kukamilisha ujenzi licha ya kuongezewa muda.

 

9 years ago

Mtanzania

Mkandarasi akimbia ujenzi wa mtaro

SAM_3627TUNU NASSOR NA ALLEN MSAPI, DAR ES SALAAM

MKANDARASI aliyepewa zabuni ya ujenzi wa mtaro wa maji uliosababisha mafuriko katika eneo la Buguruni kwa Mnyamani Machi, mwaka huu, ameutelekeza.

Mtaro huo ambao ulisababisha watu kuishi katika mazingira magumu, baada ya kuziba na maji kuingia kwenye makazi yao, ulimfanya Rais Jakaya Kikwete kufika eneo hilo na kutaka baadhi ya nyumba zivunjwe.

Akizungumza na MTANZANIA, Msemaji wa Manispaa ya Ilala, Tabu Shaibu, alisema mkandarasi huyo ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani