Serikali kumwajibisha mkandarasi aliyetoroka
WIZARA ya Maji imetakiwa kumchukulia hatua za kinidhamu mkandarasi wa mradi wa maji wilayani Meatu aliyetoroka kazini. Ushauri huo ulitolewa bungeni jana na Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen01 Mar
Mkandarasi ailiza Serikali Sh3 bil
Kampuni ya Ujenzi wa Barabara ya Strada International ya Uingereza inadaiwa kutelekeza mradi wa ujenzi wa Barabara ya kiwango cha lami kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mpaka Mirerani na kutoweka na fedha za Serikali Sh.3.1 bilioni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3JHq4UBR3ME/XvBIC8CPctI/AAAAAAALu2w/mdflcwyIR2YvFAOKXivyrpoiT0OJZjHigCLcBGAsYHQ/s72-c/1-37-768x513.jpg)
SERIKALI YALETA SULUHU KATI YA WAFANYAKAZI NA MKANDARASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3JHq4UBR3ME/XvBIC8CPctI/AAAAAAALu2w/mdflcwyIR2YvFAOKXivyrpoiT0OJZjHigCLcBGAsYHQ/s640/1-37-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-25-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akizungumza na wafanyakazi waliokuwa wanafanyakazi katika Kampuni ya China Railway 15 Group na kudai malipo yao waliyokuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PGAt7Wi4nOM/XvB9hXD-U6I/AAAAAAALu5g/FI-Pf67fc1EQhztpi-BvrUB14g2AONSQACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B12.34.07%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATATUA MGORORO ULIODUMU KWA MIAKA MINNE KATI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO PAMOJA NA MKANDARASI
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetatua mgogoro wa wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi ya ujenzi katika daraja la Mto Kilombero kwenye kampuni ya kikandarasi ya China Railway 15 Group uliodumu kwa zaidi ya miaka minne na kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mfanyakazi.
Mgogoro huo uliosimamiwa kikamilifu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch. Elius Mwakalinga, pamoja na wataalamu kutoka sekta hiyo kwa muda wa siku tatu.
Mwakalinga, ameagiza uongozi wa kampuni hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zy7A3BE_J6k/VXhMLQ4T1LI/AAAAAAAHed8/5eXDgN_oqN8/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AOMBWA KUMWAJIBISHA RC GAMA
Na Georgina Misama, MAELEZO-Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameombwa kumwajibisha mara moja Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bwn. Leonidas Gama kwa kutumia vibaya madaraka yake na kujiingiza kwenye biashara chafu ya kupora na kuwapa wawekezaji wageni ardhi ya wananchi mkoani humo. Ombi hilo limetolewa leo na Mbunge wa Rombo, Mkoani Kilimanjaro Mhe. Joseph Selasini alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa Bunge, Mjini Dodoma.
Aidha, Mhe. Selasini ameitaka taasisi ya...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameombwa kumwajibisha mara moja Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Bwn. Leonidas Gama kwa kutumia vibaya madaraka yake na kujiingiza kwenye biashara chafu ya kupora na kuwapa wawekezaji wageni ardhi ya wananchi mkoani humo. Ombi hilo limetolewa leo na Mbunge wa Rombo, Mkoani Kilimanjaro Mhe. Joseph Selasini alipokutana na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari wa Bunge, Mjini Dodoma.
Aidha, Mhe. Selasini ameitaka taasisi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3gmj4pIoAXisFhRARYEbHz6CqZGO7EgDWJnIHcN1ezFBQ89KmzDLsf6crRq5ClXuZDVTEHnj*CDQtxpUPjsLj*/o.gif?width=650)
BI HARUSI ALIYETOROKA ANASWA!
SHANI RAMADHANI YULE mwanamke Tatu Ally, mkazi wa Kongowe, Mbagala jijini Dar aliyefunga ndoa na kutoroka kwa mumewe aliyetajwa kwa jina moja la Ramadhan, mkazi wa Mbezi-Kimara, amenaswa baada ya msako mkali uliofanywa na polisi kwa kushirikiana na ndugu zake. Tatu Ally aliyedaiwa kumtoroka mumewe baada ya ndoa. Stori ya Tatu kutoroka kwa mumewe siku moja baada ya kufunga ndoa iliripotiwa na gazeti hili wiki iliyopita, ukurasa...
10 years ago
Habarileo27 Oct
Mwandosya: Si lazima Katiba itamke kumwajibisha Mbunge
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya amesema kutowekwa kwa kipengele cha wananchi kuwajibisha wabunge pale wanapofanya kinyume na matarajio yao katika Katiba Iliyopendekezwa, hakuondoi nguvu ya wananchi kwa wabunge wao.
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Mfungwa aliyetoroka New York akamatwa
Mfungwa aliyetoroka kutoka gereza la New York amekamatwa na karibu na mpaka wa Canada
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Kuimarisha mamlaka ya wananchi ni pamoja na haki ya kumwajibisha mbunge
Katiba ya kimageuzi inaweka uhusiano wa moja kwa moja kati ya wanaochaguliwa na wanaochagua
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mfungwa aliyetoroka jela anaswa kabatini
Mfungwa aliyetoroka gerezani nchini Australia wiki kadha zilizopita amekamatawa akiwa amejificha kabatini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania