Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandosya: Si lazima Katiba itamke kumwajibisha Mbunge

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya amesema kutowekwa kwa kipengele cha wananchi kuwajibisha wabunge pale wanapofanya kinyume na matarajio yao katika Katiba Iliyopendekezwa, hakuondoi nguvu ya wananchi kwa wabunge wao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kuimarisha mamlaka ya wananchi ni pamoja na haki ya kumwajibisha mbunge

Katiba ya kimageuzi inaweka uhusiano wa moja kwa moja kati ya wanaochaguliwa na wanaochagua

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati zapendekeza — Spika na Naibu wake kuendelea kuwa Wabunge, pia Ibara ya kumwajibisha mbunge yapendekezwa ifutwe

PIX 1.

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongeza Bunge hilo leo 5 Septemba, 2014 mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga na Magreth Kinabo, Maelezo-Dodoma.

KAMATI za Bunge Maalum la Katiba leo tarehe 4 Septemba, 2014 zimeendelea kuwasilisha taarifa zao mbele ya Bunge hilo.

Baadhi ya kamati zilizowasilisha taarifa zao katika Bunge hilo ni Kamati Namba Mbili, Kamati Namba Tisa, Kamati na Kumi, Kamati Namba Nne, Kamati Namba 12, ambazo ziliwasilisha asubuhi hadi mchana.

Mambo...

 

10 years ago

Habarileo

Mwandosya: Katiba itamaliza umasikini

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya amesema ifikapo mwaka 2055, Tanzania haitakuwa tena nchi masikini.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE KESSY ASEMA RAIS DK.MAGUFULI, ATAKE ASITAKE LAZIMA AONGEZEWE MUDA

*Asema anasumbuliwa na marafiki zake, wanamuuliza nani baada ya Magufuli?
Na Said Mwishehe,Michuzi TVMBUNGE wa Jimbo la Nkasi Ally Kessy(CCM) ameliambia Bunge kuwa kuna kila sababu ya Rais Dk. John Magufuli aongezewe muda wa kuwa Rais huku akisisitiza kuwa Rais atake au asitake lazima aongeze muda.
Amesema yeye(Kessy) amekuwa akipata tabu sana kwani amekuwa akiulizwa na marafiki zake wa ndani na nje ya nchi kwamba baada ya Magufuli nani anafuata lakini jibu lake analowajibu ni kwamba Rais...

 

11 years ago

Habarileo

Kinana: Katiba mpya ni lazima

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaLICHA ya ‘madudu’ yanayofanywa na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Katibu Mkuu CCM, Abdulrahman Kinana, amewataka Watanzania kuwa watulivu akisema ni lazima Katiba mpya itapatikana, huku akisisitiza watambue kuwa Katiba hiyo si mwarobaini wa matatizo yaliyopo sasa hapa nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe: Siyo lazima Katiba ipatikane sasa

Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema Katiba inayoandaliwa siyo lazima ipatikane kwa sasa kutokana na hofu ya kukosekana kwa maridhiano yanayoendelea kujitokeza miongoni mwao na wajumbe wanaosimamia muundo wa serikali mbili.

 

11 years ago

Mwananchi

KATIBA: Silaa asisitiza serikali mbili lazima

>Siku moja baada ya kuelezwa kuwa msimamo wa kung’ang’ania serikali mbili ni maagizo ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Jerry Silaa amesisitiza kuwa serikali mbili ni lazima.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tutengeneze Katiba inayolenga kutatua matatizo ya wananchi wetu kwa miaka 50 ijayo: Prof. Mwandosya

Mwandosya akizungumza 3

Mjumbe wa Bunge Maalum, Mhe. Prof. Mark Mwandosya akichangia mjadala wa ndani ya Bunge Maalum kujadili taarifa za kamati za bunge hilo zilizowasilishwa wiki iliyopita kwa ajili ya kuandika Katiba inayopendekezwa.(Picha na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma)

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Prof. Mark Mwandosya ameeleza kuwa mpaka ifikapo mwaka 2055 Tanzania itakuwa imeachana na umaskini katika nchi ya uchumi wa kwanza endapo kutakuwa na dhamira ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kumwajibisha mkandarasi aliyetoroka

WIZARA ya Maji imetakiwa kumchukulia hatua za kinidhamu mkandarasi wa mradi wa maji wilayani Meatu aliyetoroka kazini. Ushauri huo ulitolewa bungeni jana na Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani