Mwandosya: Si lazima Katiba itamke kumwajibisha Mbunge
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya amesema kutowekwa kwa kipengele cha wananchi kuwajibisha wabunge pale wanapofanya kinyume na matarajio yao katika Katiba Iliyopendekezwa, hakuondoi nguvu ya wananchi kwa wabunge wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Kuimarisha mamlaka ya wananchi ni pamoja na haki ya kumwajibisha mbunge
10 years ago
Dewji Blog05 Sep
Kamati zapendekeza — Spika na Naibu wake kuendelea kuwa Wabunge, pia Ibara ya kumwajibisha mbunge yapendekezwa ifutwe
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongeza Bunge hilo leo 5 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga na Magreth Kinabo, Maelezo-Dodoma.
KAMATI za Bunge Maalum la Katiba leo tarehe 4 Septemba, 2014 zimeendelea kuwasilisha taarifa zao mbele ya Bunge hilo.
Baadhi ya kamati zilizowasilisha taarifa zao katika Bunge hilo ni Kamati Namba Mbili, Kamati Namba Tisa, Kamati na Kumi, Kamati Namba Nne, Kamati Namba 12, ambazo ziliwasilisha asubuhi hadi mchana.
Mambo...
10 years ago
Habarileo17 Sep
Mwandosya: Katiba itamaliza umasikini
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya amesema ifikapo mwaka 2055, Tanzania haitakuwa tena nchi masikini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s72-c/kessy24.jpg)
MBUNGE KESSY ASEMA RAIS DK.MAGUFULI, ATAKE ASITAKE LAZIMA AONGEZEWE MUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ltfAP60l5Q4/XuBaXfBg57I/AAAAAAALtRE/05ElMpXks18cWHTyVZ06AyXk3G8CTQO9wCLcBGAsYHQ/s400/kessy24.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TVMBUNGE wa Jimbo la Nkasi Ally Kessy(CCM) ameliambia Bunge kuwa kuna kila sababu ya Rais Dk. John Magufuli aongezewe muda wa kuwa Rais huku akisisitiza kuwa Rais atake au asitake lazima aongeze muda.
Amesema yeye(Kessy) amekuwa akipata tabu sana kwani amekuwa akiulizwa na marafiki zake wa ndani na nje ya nchi kwamba baada ya Magufuli nani anafuata lakini jibu lake analowajibu ni kwamba Rais...
11 years ago
Habarileo19 Apr
Kinana: Katiba mpya ni lazima
LICHA ya ‘madudu’ yanayofanywa na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Katibu Mkuu CCM, Abdulrahman Kinana, amewataka Watanzania kuwa watulivu akisema ni lazima Katiba mpya itapatikana, huku akisisitiza watambue kuwa Katiba hiyo si mwarobaini wa matatizo yaliyopo sasa hapa nchini.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Mbowe: Siyo lazima Katiba ipatikane sasa
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KATIBA: Silaa asisitiza serikali mbili lazima
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Tutengeneze Katiba inayolenga kutatua matatizo ya wananchi wetu kwa miaka 50 ijayo: Prof. Mwandosya
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Prof. Mark Mwandosya ameeleza kuwa mpaka ifikapo mwaka 2055 Tanzania itakuwa imeachana na umaskini katika nchi ya uchumi wa kwanza endapo kutakuwa na dhamira ya...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Serikali kumwajibisha mkandarasi aliyetoroka
WIZARA ya Maji imetakiwa kumchukulia hatua za kinidhamu mkandarasi wa mradi wa maji wilayani Meatu aliyetoroka kazini. Ushauri huo ulitolewa bungeni jana na Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa...