Kinana: Katiba mpya ni lazima
LICHA ya ‘madudu’ yanayofanywa na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Katibu Mkuu CCM, Abdulrahman Kinana, amewataka Watanzania kuwa watulivu akisema ni lazima Katiba mpya itapatikana, huku akisisitiza watambue kuwa Katiba hiyo si mwarobaini wa matatizo yaliyopo sasa hapa nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0RXswG3rLC0/U3uXX4jZ7aI/AAAAAAAChps/SJGDtjLLOjU/s72-c/20.jpg)
KATIBA MPYA TUNAITAKA,LAKINI ISIWE YA KUKOROGA VICHWA VYA WATU-KATIBU MKUU WA CCM,KINANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0RXswG3rLC0/U3uXX4jZ7aI/AAAAAAAChps/SJGDtjLLOjU/s1600/20.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xFM7uaZMxhA/U3uXAZwVoyI/AAAAAAAChpE/ZqUuXY-Gtu4/s1600/16.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Lazima tuwe na mipango endelevu-Kinana
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Kinana: Siyo lazima Ukawa warejee bungeni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppCXkPGFUo0qQzBZB8o-*g9PeqJUANfIlAPNWZ8Ul7-g4aYgdFm-EtaPeGIWbknoforuS5LhtN-knLU7stPYCcvp/jk1.jpg?width=650)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTAZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s72-c/IMG_1901.jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA WATAKIWA KUWA NA MTIZAMO MPYA UTAKAOWEZESHA UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fsQwoxe5BTA/U8gvYerQWpI/AAAAAAAA9qg/Rcd2cfwYkao/s1600/IMG_1901.jpg)
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Bw. Deus Kibamba akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 17, 2014 kuelezea msimamo wa JUKWAA LA KATIBA juu ya mwenendo uliopita wa bunge hilo. Picha na Cathert Kajuna wa Kajunason Blog
![](http://4.bp.blogspot.com/-sq5B5OozAMU/U8gvn-BR5AI/AAAAAAAA9rI/vAXGlkoA78g/s1600/IMG_1950.jpg)
Kiongozi wa Shule Kuu ya Sheria nchini Kenya, Profesa Patrick Lumumba alisisitiza suala la wanasiasa kurudi bungeni na kuhakikisha katiba mpya inapatikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-M28s6kVPyoc/U8gviRciOpI/AAAAAAAA9q4/r0qaKcHaND8/s1600/IMG_1936.jpg)
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-McpOCDMYJC8/U8gvfVKJWzI/AAAAAAAA9qw/brBrfUklC2g/s1600/IMG_1920.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LEOwJM6ut50/U8gvb6GfPPI/AAAAAAAA9qo/4nE-b3qltBc/s1600/IMG_1910.jpg)
Wajumbe wa JUKWAA LA KATIBA...
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Mbowe: Siyo lazima Katiba ipatikane sasa
10 years ago
Habarileo27 Oct
Mwandosya: Si lazima Katiba itamke kumwajibisha Mbunge
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya amesema kutowekwa kwa kipengele cha wananchi kuwajibisha wabunge pale wanapofanya kinyume na matarajio yao katika Katiba Iliyopendekezwa, hakuondoi nguvu ya wananchi kwa wabunge wao.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KATIBA: Silaa asisitiza serikali mbili lazima
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10