Mbowe: Siyo lazima Katiba ipatikane sasa
Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema Katiba inayoandaliwa siyo lazima ipatikane kwa sasa kutokana na hofu ya kukosekana kwa maridhiano yanayoendelea kujitokeza miongoni mwao na wajumbe wanaosimamia muundo wa serikali mbili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Oct
‘Katiba ipatikane kabla ya Rais ajaye’
MJUMBE wa Bunge Maalumu, Askofu Amos Mhagache amemwomba Rais Jakaya Kikwete aache amekamilisha mchakato wa kupata Katiba mpya.
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Pinda Katiba ipatikane kabla ya Rais mpya
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Kinana: Siyo lazima Ukawa warejee bungeni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0atGmsdmURReWS0RAsf6zf74e8-dqOVNerTG3aE3CtuXT2huVbI3syMHaG0gltBjKMH2O7JN71kIygAOHj1kb7C9*-Y3CHzk/4.gif?width=650)
HIVI UNAJUA SIYO LAZIMA ALIYEKUTOLEA MAHARI AKUOE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rUrHnDSl8N9SSDe8WivBRCSNc-FeSieHbW7u5C7pHJmiDj6fqb9e3lEh98KoDpG51tjR4Tg4E-EflWhrxfbVAIpdt6JaajRW/Blackwomanthinking1.jpg?width=650)
SIYO LAZIMA UANZE KUFANIKIWA WEWE, TIA MOYO WENGINE!
11 years ago
Michuzi27 Mar
Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Coronavirus: Teknolojia ya simu ya video imekuwa ya lazima sasa
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Valentine ya sasa, siyo upendo, ni mapenzi?
11 years ago
Habarileo19 Apr
Kinana: Katiba mpya ni lazima
LICHA ya ‘madudu’ yanayofanywa na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Katibu Mkuu CCM, Abdulrahman Kinana, amewataka Watanzania kuwa watulivu akisema ni lazima Katiba mpya itapatikana, huku akisisitiza watambue kuwa Katiba hiyo si mwarobaini wa matatizo yaliyopo sasa hapa nchini.