Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Teknolojia ya simu ya video imekuwa ya lazima sasa

Mlipuko wa virusi vya corona umebadili namna ya ufanyaji kazi au biashara kwa watu wengi kwa watu kulazimika kutumia teknolojia ya simu ya video.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hii sasa imekuwa nchi ya dharura

>Wakati tukiwa shule ya msingi, tulisikia kila mara wakubwa zetu wakimtaja Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa jina la Musa. Walielezea kuwa jina hilo lilitokana hasa na jinsi Raisn huyo wa Serikali ya Awamu ya Kwanza alivyozoea kushika fimbo kila alipoonekana hadharani.

 

10 years ago

GPL

ASILIMIA 100 YA TANZANIA SASA IMEKUWA NI DIJITALI

 Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa Televisheni kwa mfumo wa Analojia kwenda Dijitali ambapo asilimia 100 ya nchi sasa imekuwa Dijitali. Kulia ni Ofisa Mawasiliano Mkuu wa TCRA, Semu Mwakyanjala na Ofisa wa Masafa, Christopher Asenga. ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 100 ya Tanzania sasa imekuwa ni dijitali

Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa Televisheni kwa mfumo wa Analojia kwenda Dijitali ambapo asilimia 100 ya nchi sasa imekuwa Dijitali. Kulia ni Ofisa Mawasiliano Mkuu wa TCRA, Semu Mwakyanjala na Ofisa wa Masafa, Christopher Asenga.

Ofisa wa Masafa wa TCRA, Christopher Asenga (kushoto), akizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe: Siyo lazima Katiba ipatikane sasa

Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe amesema Katiba inayoandaliwa siyo lazima ipatikane kwa sasa kutokana na hofu ya kukosekana kwa maridhiano yanayoendelea kujitokeza miongoni mwao na wajumbe wanaosimamia muundo wa serikali mbili.

 

11 years ago

Mwananchi

Teknolojia ya Smart house: Nyumba zinazotumia rimoti, simu za mkononi

Unapokuwa nje ya nyumba yako hasa ikiwa imesheheni vitu vingi vya gharama, akili hushindwa kutulia kwa kujiuliza maswali mengi kuhusu usalama wa vitu hivyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCF: Ukuaji teknolojia ya simu ulete tija kwa watumiaji

KAMPUNI za simu nchini zimetakiwa kuhakikisha zinatumia fursa ya ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano ya simu kuleta tija kwa watumiaji wake. Wito huo ulitolewa jana na Mwenyekiti wa Jukwaa la...

 

11 years ago

Mwananchi

SAYANSI NA TEKNOLOJIA: Kampuni za simu zinasitiri taarifa za watumiaji wake?

>Ukikutana na Watanzania 10 angalau nusu yao watakuwa na kifaa au vifaa vya mawasiliano kama  simu na kompyuta.

 

11 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA: Simu za mkononi zinavyoweza kufahamisha mahala alipo mtumiaji

Tofauti na vifaa vya kiteknolojia kama vile kompyuta na tabiti (tablet), baadhi ya simu za kisasa zina uwezo wa kutoa taarifa za mahala mtu alipo au kilipo kitu fulani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani