Asilimia 100 ya Tanzania sasa imekuwa ni dijitali
Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa Televisheni kwa mfumo wa Analojia kwenda Dijitali ambapo asilimia 100 ya nchi sasa imekuwa Dijitali. Kulia ni Ofisa Mawasiliano Mkuu wa TCRA, Semu Mwakyanjala na Ofisa wa Masafa, Christopher Asenga.
Ofisa wa Masafa wa TCRA, Christopher Asenga (kushoto), akizungumza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLASILIMIA 100 YA TANZANIA SASA IMEKUWA NI DIJITALI
10 years ago
VijimamboAsilimia 100 ya Tanzania sasa ni digitali
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s72-c/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s400/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...
10 years ago
Mwananchi12 Apr
Hii sasa imekuwa nchi ya dharura
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Coronavirus: Teknolojia ya simu ya video imekuwa ya lazima sasa
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Nape: CCM haijakamilika asilimia 100
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Chanzo ya malaria kufanyakazi kwa asilimia 100
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtLbdRuogON3zhbayraVTof9p-J71AyQCfy3UbSpayVmkWYBk1cnbNHV94nB0ZubPYNclD85UChFLq5LI5w5-XE2/mkude.jpg)
Mkude asilimia 100 kuivaa Mtibwa Sugar
10 years ago
Habarileo08 Feb
Kipili yazawadiwa kwa kujenga maabara asilimia 100
SERIKALI wilayani Sikonge mkoa waTabora, imeizawadia kata ya Kipili iliyoko katika wilaya hiyo, cheti maalumu cha ushindi baada ya kuwa ya kwanza wilayani humo kujenga maabara kwa asilimia 100.