Nape: CCM haijakamilika asilimia 100
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi CCM na mgombea ubunge Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema CCM haijakamilika kwa asilima 100 na kwamba kuna mambo machache ambayo hayako sawa lakini wanayafanyia kazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/11.jpg)
NAPE: CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE
5 years ago
MichuziDAWASA IMETEKELEZA ILANI YA CCM KWA ASILIMIA 100- MHANDISI NDIKILO
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam na Pwani DAWASA wametekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa asilimia 100.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya Dawasa iliyopo Mkoa wa Pwani.
Ndikilo ameanza ziara ya siku mbili kutembelea miradi hiyo, ambapo ameipongeza Dawasa kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kusambaza maji kwenye maeneo muhimu ikiwemo Kiwanda cha Nyama Tan...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s72-c/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s400/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...
10 years ago
VijimamboAsilimia 100 ya Tanzania sasa ni digitali
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Chanzo ya malaria kufanyakazi kwa asilimia 100
10 years ago
GPLASILIMIA 100 YA TANZANIA SASA IMEKUWA NI DIJITALI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtLbdRuogON3zhbayraVTof9p-J71AyQCfy3UbSpayVmkWYBk1cnbNHV94nB0ZubPYNclD85UChFLq5LI5w5-XE2/mkude.jpg)
Mkude asilimia 100 kuivaa Mtibwa Sugar
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Asilimia 100 ya Tanzania sasa imekuwa ni dijitali
Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa Televisheni kwa mfumo wa Analojia kwenda Dijitali ambapo asilimia 100 ya nchi sasa imekuwa Dijitali. Kulia ni Ofisa Mawasiliano Mkuu wa TCRA, Semu Mwakyanjala na Ofisa wa Masafa, Christopher Asenga.
Ofisa wa Masafa wa TCRA, Christopher Asenga (kushoto), akizungumza...