Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Asilimia 100 ya Tanzania sasa ni digitali

 Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa Televisheni kwa mfumo wa Analojia kwenda Dijitali ambapo asilimia 100 ya nchi sasa imekuwa Dijitali. Kulia ni Ofisa Mawasiliano Mkuu wa TCRA, Semu Mwakyanjala na Ofisa wa Masafa, Christopher Asenga.  Ofisa wa Masafa wa TCRA, Christopher Asenga (kushoto), akizungumza...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 100 ya Tanzania sasa imekuwa ni dijitali

Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa Televisheni kwa mfumo wa Analojia kwenda Dijitali ambapo asilimia 100 ya nchi sasa imekuwa Dijitali. Kulia ni Ofisa Mawasiliano Mkuu wa TCRA, Semu Mwakyanjala na Ofisa wa Masafa, Christopher Asenga.

Ofisa wa Masafa wa TCRA, Christopher Asenga (kushoto), akizungumza...

 

10 years ago

GPL

ASILIMIA 100 YA TANZANIA SASA IMEKUWA NI DIJITALI

 Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa Televisheni kwa mfumo wa Analojia kwenda Dijitali ambapo asilimia 100 ya nchi sasa imekuwa Dijitali. Kulia ni Ofisa Mawasiliano Mkuu wa TCRA, Semu Mwakyanjala na Ofisa wa Masafa, Christopher Asenga. ...

 

9 years ago

Michuzi

Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto

Na Beatrice Lyimo-Maelezo
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA)  yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...

 

9 years ago

Mwananchi

Nape: CCM haijakamilika asilimia 100

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi CCM na mgombea ubunge Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema CCM haijakamilika kwa asilima 100 na kwamba kuna mambo machache ambayo hayako sawa lakini wanayafanyia kazi.

 

10 years ago

GPL

Mkude asilimia 100 kuivaa Mtibwa Sugar

Kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude.
Na Wilbert Molandi
KIUNGO mkabaji wa  yupo fiti asilimia 100 kuwavaa Mtibwa Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayopigwa leo kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Mkude alikuwa nje ya uwanja kwa wiki moja akiuguza majeraha ya bega aliyoyapata kwenye mechi dhidi ya Yanga iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam iliyomalizika kwa suluhu. Akizungumza na Championi...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Chanzo ya malaria kufanyakazi kwa asilimia 100

Wakati vifo zaidi ya 700,000 vitokanavyo na Malaria vikitokea ukanda wa Jangwa la Sahara kila mwaka wanasayansi wa Taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI) wakishirikiana na kampuni ya Marekani wameanza majaribio ya chanjo mpya inayotarajiwa kuzuia malaria kwa asilimia 100. Awali majaribio ya chanjo hiyo iitwayo Sanaria PfSPZ yalifanyika Marekani na kudaiwa kuwa watu sita wasiougua malaria walijaribiwa na ilifanikiwa kwa asilimia 100 baada ya wote kutoambukizwa ugonjwa huo. Watu hao sita kutoka...

 

10 years ago

Habarileo

Kipili yazawadiwa kwa kujenga maabara asilimia 100

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge, Hanifa Selengu.SERIKALI wilayani Sikonge mkoa waTabora, imeizawadia kata ya Kipili iliyoko katika wilaya hiyo, cheti maalumu cha ushindi baada ya kuwa ya kwanza wilayani humo kujenga maabara kwa asilimia 100.

 

5 years ago

Michuzi

IKUNGI YATEMBEA NA FALSAFA YA RAIS JPM KWA ASILIMIA 100

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi mwenye miwani akizungumza na akina mama wafanya biashara ya viazi lishe wa Kitongoji cha Kideka kijiji cha Nkunikana kuhusu kuchukua tahadhari ya kujikinga na Corona-Covid 19,Pichaini kulia Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo kushoto Mkurugenzi Mtendaji Justice Kijazi


Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi(mwenye miwani) akitoa maelekezo ya namna bora ya kufanya kazi katika kikundi kwa wakikundi cha Jitume Vijana chenye vijana...

 

11 years ago

Mwananchi

Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100

Wakati vifo zaidi ya 700,000 vitokanavyo na Malaria vikitokea ukanda wa Jangwa la Sahara kila mwaka wanasayansi wa Taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI) wakishirikiana na kampuni ya Marekani wameanza majaribio ya chanjo mpya inayotarajiwa kuzuia malaria kwa asilimia 100.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani