Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chanzo ya malaria kufanyakazi kwa asilimia 100

Wakati vifo zaidi ya 700,000 vitokanavyo na Malaria vikitokea ukanda wa Jangwa la Sahara kila mwaka wanasayansi wa Taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI) wakishirikiana na kampuni ya Marekani wameanza majaribio ya chanjo mpya inayotarajiwa kuzuia malaria kwa asilimia 100. Awali majaribio ya chanjo hiyo iitwayo Sanaria PfSPZ yalifanyika Marekani na kudaiwa kuwa watu sita wasiougua malaria walijaribiwa na ilifanikiwa kwa asilimia 100 baada ya wote kutoambukizwa ugonjwa huo. Watu hao sita kutoka...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100

Wakati vifo zaidi ya 700,000 vitokanavyo na Malaria vikitokea ukanda wa Jangwa la Sahara kila mwaka wanasayansi wa Taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI) wakishirikiana na kampuni ya Marekani wameanza majaribio ya chanjo mpya inayotarajiwa kuzuia malaria kwa asilimia 100.

 

10 years ago

Habarileo

Malaria Mwanza yapungua kwa asilimia 62.5

KIWANGO cha maambukizi ya ugonjwa wa malaria mkoani Mwanza kimepungua kutoka wagonjwa 979,035 kwa mwaka 2009 hadi kufikia jumla ya wagonjwa 367,545 kwa mwaka 2013 sawa na asilimia 62.5.

 

9 years ago

Michuzi

Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto

Na Beatrice Lyimo-Maelezo
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA)  yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya wilaya ya Morogoro yapunguza maambukizi ya Malaria kwa asilimia nane

01

Nyumba ya watumishi wa Kituo cha Afya cha Mkuyuni ambayo imefunguliwa  na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Ndugu Juma Khatib Chum ili watumishi hao waweze kuishi karibu na Kituo hicho.

Na Andrew Tangazo Chimesela – Morogoro

Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, imefanikiwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa malaria kwa  asilimia 8 ukilinganisha na maambukizi ya ugonjwa huo mwaka 2014.

Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Dkt. Mwanahamisi Yahya ambaye ni Kaimu mganga wa kituo cha Afya cha...

 

10 years ago

Habarileo

Kipili yazawadiwa kwa kujenga maabara asilimia 100

Mkuu wa Wilaya ya Sikonge, Hanifa Selengu.SERIKALI wilayani Sikonge mkoa waTabora, imeizawadia kata ya Kipili iliyoko katika wilaya hiyo, cheti maalumu cha ushindi baada ya kuwa ya kwanza wilayani humo kujenga maabara kwa asilimia 100.

 

5 years ago

Michuzi

IKUNGI YATEMBEA NA FALSAFA YA RAIS JPM KWA ASILIMIA 100

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi mwenye miwani akizungumza na akina mama wafanya biashara ya viazi lishe wa Kitongoji cha Kideka kijiji cha Nkunikana kuhusu kuchukua tahadhari ya kujikinga na Corona-Covid 19,Pichaini kulia Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo kushoto Mkurugenzi Mtendaji Justice Kijazi


Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi(mwenye miwani) akitoa maelekezo ya namna bora ya kufanya kazi katika kikundi kwa wakikundi cha Jitume Vijana chenye vijana...

 

5 years ago

Michuzi

DAWASA IMETEKELEZA ILANI YA CCM KWA ASILIMIA 100- MHANDISI NDIKILO

Na Zainab Nyamka, Michuzi Glob.
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam na Pwani DAWASA wametekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa asilimia 100.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya Dawasa iliyopo Mkoa wa Pwani.
Ndikilo ameanza ziara ya siku mbili kutembelea miradi hiyo, ambapo ameipongeza Dawasa kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kusambaza maji kwenye maeneo muhimu ikiwemo Kiwanda cha Nyama Tan...

 

9 years ago

Michuzi

MONICA MBEGA- DR MAGUFULI NA MWAKALEBELA NAWAUNGA MKONO KWA ASILIMIA 100

Aliyekuwa  mgombea wa nafasi ya Urais Monica Mbega jukwaani  akimwombea  kura  mgombea  urais wa  CCM na mgombea  ubunge jimbo la Iringa mjini Frederick Mwakalebela (aliyekaa katikati kulia) leo  baada ya  mwakalebela  kuchukua  fomu ya ubunge.Monica  Mbega  akimpongeza  MwakalebelaMonica  Mbega  akijiandaa kumsalimia Kiponza.Mwenyekiti wa CCM Iringa mjini Bw  Abeid Kiponza  (kulia) akimtambulisha mgombea  ubunge jimbo la Iringa mjini Frederick Mwakalebela  leo.
Mgombea udiwani wa kata ya...

 

9 years ago

Michuzi

BARCLAYS YATOA HUNDI YA ASILIMIA 100 KWA MTEJA KUPITISHA MSHAHARA KATIKA BENKI HIYO


Meneja wa kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja wa Benki ya Barclays,Valence Ruteganya akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampeni ya wateja kupata asilimia 100 ya mshahara kwa kupita katika akaunti ya benki ya Baclays katika hafla ya kumkabidhi mteja aliyepitisha mshahara wake na kupata asilimia 10 iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam,kushoto Meneja wa Kanda ya Namba Moja,Kitumari Massawe kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja,Oscar Mwamfwagasi.
Meneja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani