Malaria Mwanza yapungua kwa asilimia 62.5
KIWANGO cha maambukizi ya ugonjwa wa malaria mkoani Mwanza kimepungua kutoka wagonjwa 979,035 kwa mwaka 2009 hadi kufikia jumla ya wagonjwa 367,545 kwa mwaka 2013 sawa na asilimia 62.5.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mv-gaqThutQ/Xn9NDIBwKpI/AAAAAAALlZU/asfiYKpU7E8OGVnsTHA21b36_A438Q9JgCLcBGAsYHQ/s72-c/5176c794-3a25-48da-94f1-aa1f6d914a01.jpg)
MATUKIO YA UHALIFU NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 3.2 MAKOSA YA BARABARANI NAYO YAPUNGUA
IDADI ya matukio ya uhalifu nchini imepungua katika kipindi cha mwezi Januari na Februari mwaka huu ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka 2019 .
Takwimu zinaonesha ndani ya kipindi cha mwaka huu matukio ya uhalifu 9,263 yaliripotiwa ukilinganisha na matukio 9,572 yaliyoripotiwa katika kipindi kama hicho cha mwaka jana hivyo kuwa na upungufu wa matukio 309 sawa na asilimia 3.2.
Akitoa taarifa hiyo mbele ya wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Mkurugenzi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yx6pQStxG0E/U9-SsVrvWxI/AAAAAAAF9BY/XvdeXsYu4O0/s72-c/lukuviiii.jpg)
MAAMBUKIZI YA UKIMWI NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 33
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yx6pQStxG0E/U9-SsVrvWxI/AAAAAAAF9BY/XvdeXsYu4O0/s1600/lukuviiii.jpg)
Na Rose Masaka na Lorietha Laurence-MAELEZO
TANZANIA ni miongoni mwa Nchi ambazo zimeweza kupunguza maambuzi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa asilimia 33.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. William Lukuvi wakati akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Mkutano wa 20 wa Kimataifa wa Ukimwi Duniani uliofanyika Melbourne nchini Australia Julai mwaka huu.
Amesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya Serikali kuanza zoezi la kuzuia maambukizi kutoka kwa mama...
11 years ago
Habarileo22 May
Maambukizi ya malaria yapungua
WAKATI Serikali ikijiandaa kuanza majaribio ya kiwanda cha mradi wa dawa za kuua viluwiluwi cha Kibaha mkoani Pwani, maambukizi ya malaria nchini yamepungua kwa zaidi ya asilimia 47.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3mlTXA2pHGw/Xs_cuMxYOjI/AAAAAAAC6Pc/hSrxq1_SndYMP-nC1bDUDQO50UKFThozQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MALARIA YAPUNGUA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3mlTXA2pHGw/Xs_cuMxYOjI/AAAAAAAC6Pc/hSrxq1_SndYMP-nC1bDUDQO50UKFThozQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.
Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Chanzo ya malaria kufanyakazi kwa asilimia 100
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
Maambukizi ya malaria yapungua Afrika
11 years ago
Mwananchi31 May
Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Halmashauri ya wilaya ya Morogoro yapunguza maambukizi ya Malaria kwa asilimia nane
Nyumba ya watumishi wa Kituo cha Afya cha Mkuyuni ambayo imefunguliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Ndugu Juma Khatib Chum ili watumishi hao waweze kuishi karibu na Kituo hicho.
Na Andrew Tangazo Chimesela – Morogoro
Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, imefanikiwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa malaria kwa asilimia 8 ukilinganisha na maambukizi ya ugonjwa huo mwaka 2014.
Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Dkt. Mwanahamisi Yahya ambaye ni Kaimu mganga wa kituo cha Afya cha...