Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARCLAYS YATOA HUNDI YA ASILIMIA 100 KWA MTEJA KUPITISHA MSHAHARA KATIKA BENKI HIYO


Meneja wa kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja wa Benki ya Barclays,Valence Ruteganya akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampeni ya wateja kupata asilimia 100 ya mshahara kwa kupita katika akaunti ya benki ya Baclays katika hafla ya kumkabidhi mteja aliyepitisha mshahara wake na kupata asilimia 10 iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam,kushoto Meneja wa Kanda ya Namba Moja,Kitumari Massawe kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja,Oscar Mwamfwagasi.
Meneja wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Benki ya Barclays yatoa somo la ajira kwa wanafunzi wa UDBS

01

Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Barclays Tanzania, Anna Chacha (kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana kuhusu fursa mbalimbali za ajira ndani ya benki hiyo na pia nini wafanye ili kuweza kumudu ushindani katika soko la ajira ndani ya sekta za kibenki.   02 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Barclays Tanzania, Neema-Rose Singo (kushoto) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar...

 

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja

MO D

Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji  mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front  wakati wa  kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP,  jijini Dar es Salaam.

MO2

Afisa Mtendaji  mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji  akionyesha barua ya...

 

11 years ago

Michuzi

SABA KIZIMBANI KWA WIZI KATIKA BENKI YA BARCLAYS

WATU saba wakiwemo wafanyakazi wawili wanawake wa benki ya  Barclays wamepandishwa  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kula njama na unyang'anyi wa kutumia silaha pamoja na wiza wa sh milioni 390.2 , dola za kimarekani 55,000 na Euro 2150.
Washtakiwa hao ni Alune Kasililika (38), Neema Batchu (26) wafanyakazi wa benk hiyo, Kakame Julius (38), Iddy Khamis (32), Sezary Msolopa (31), Boniphace Muumba (29) na Ruth Macha (30) wafanyabiashara.
Wakisomewa mashitaka yao mbele ya...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akimkabidhi hundi ya sh. milioni 20 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda zilizotolewa na benki hiyo baada ya  meya huyo kupata tuzo ya Meya Bora Afrika iliyotolewa na Rais Jose Eduardo do Santos wa Angola. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam. Meya wa Kinondoni Yusuf Mwenda akitoa shukrani zake kwa uongozi wa Benki ya CRDB kwa kutambua juhudi wanazofanya katika utendaji kazi na masuala ya usafi na ukusanyaji wa mapato.

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Stanbic yatoa milioni 50 kwa wajasirimali katika kusherehekea miaka 25

Katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 25, benki ya Stanbic Tanzania imezindua shindano la wajasiriamali kwa lengo la kuchochea ukuaji wa shughuli za kibiashara nchini Tanzania. Shindano hilo liitwalo, ‘Stanbic Entrepreneurship Challenge’ linatarajiwa kuanza tarehe 28 Mei hadi tarehe 11 Juni mwaka huu – ambapo washindi watano watazawadiwa shilingi milioni 10 kila mmoja.

“Nchini Tanzania, sekta ya biashara ina makampuni ya biashara ndogondogo na za kati (SMEs) zaidi ya milioni 3, ambazo...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. BERNARD MEMBE AKABIDHI HUNDI YA $ 100,000 KWA MTOTO WA BRIGEDIA JEN. MSTAAFU HASHIM MBITA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe Bernard K. Membe (Mb) (katikati) akikabidhi hundi yenye thamani ya Dola za Marekani laki moja kwa mtoto wa Brigedia Jen. Mstaafu Hashim Mbita, Bibi Shella Mbita. Bibi Mbita alipokea zawadi hiyo kwa niaba ya Baba yake ambayo imetolewa na Rais wa Zimbabwe, Mhe. Robert Mugabe kutokana mchango mkubwa alioutoa Brig. Jen. Mbita katika harakati za ukombozi Kuisini mwa Afrika. Mwingine katika picha ni Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania, Mhe....

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA POSTA YATOA MSAADA WA MABATI 100 KUSAIDIA KUPAUA SHULE SINGIDA


Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Diana Myonga (wa tatu kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (wa nne kutoka kushoto) moja ya bati kati ya 100 yaliyotolewa mwishoni mwa wiki na benki hiyo kwa ajili ya kupaua madarasa ya shule mkoani humo. Kutoka kushoto ni Kaimu Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa benki hiyo, Chichi Banda, Meneja wa TPB Tawi la Singida, Redemter Rweyemamu. Wengine ni Wenyeviti wa Vikundi...

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YATOA MILIONI 100 KUSAIDIA WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO MKOANI MOROGORO

Rais  Jakaya Kikwete akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, (kushoto), alipofika kutoa msaada wa sh. milioni 100 wa benki hiyo kwa ajili ya kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyozikumba wilaya tatu za Kilosa, Mvomero na Gairo katika Mkoa wa Morogoro, mwezi uliopita. Dk. Kimei alifuatana na baadhi ya viongozi wa benki hiyo Dk. Kimei akifafanua jambo kwa Rais Jakaya Kikwete. Dk. Charles Kimei akitoa maelezo mafupi kabla ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani