SABA KIZIMBANI KWA WIZI KATIKA BENKI YA BARCLAYS
![](http://2.bp.blogspot.com/-XKKhlyPEnrw/U2THzgDMh3I/AAAAAAAFfCM/wy2YRfaHPlE/s72-c/majambazi+(1).jpg)
WATU saba wakiwemo wafanyakazi wawili wanawake wa benki ya Barclays wamepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kula njama na unyang'anyi wa kutumia silaha pamoja na wiza wa sh milioni 390.2 , dola za kimarekani 55,000 na Euro 2150.
Washtakiwa hao ni Alune Kasililika (38), Neema Batchu (26) wafanyakazi wa benk hiyo, Kakame Julius (38), Iddy Khamis (32), Sezary Msolopa (31), Boniphace Muumba (29) na Ruth Macha (30) wafanyabiashara.
Wakisomewa mashitaka yao mbele ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
MTUMISHI WA BENKI YA BOA KIZIMBANI AKIKABILIWA NA MASHTAKA SABA YA WIZI, UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jETlAwMNhf8/XrP595VzUZI/AAAAAAALpZM/FQUEV-yevLMA7JzY1eBYGNJoHg8IdtgAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.43.42%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qoBytkvHX7c/XrP591TREOI/AAAAAAALpZQ/catm5v4ZwykIX_SiMoj5Sa3sqGUU9NvwACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.08.48%2BPM.jpeg)
Akisoma hati ya mashtaka, wakili wa serikali Mwandamizi Anna Chimpaye amedai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba kuwa mshtakiwa ametenda makosa ya wizi akiwa mtumishi katika tarehe tofauti tofauti kuanzia Januari 2017 hadi Novemba...
11 years ago
Mwananchi03 May
Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8NlSbC9BRy4/VlbjIr7XQxI/AAAAAAADC0g/6l1vJJ4YGIc/s72-c/IMG_5863.jpg)
BARCLAYS YATOA HUNDI YA ASILIMIA 100 KWA MTEJA KUPITISHA MSHAHARA KATIKA BENKI HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8NlSbC9BRy4/VlbjIr7XQxI/AAAAAAADC0g/6l1vJJ4YGIc/s640/IMG_5863.jpg)
Meneja wa kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja wa Benki ya Barclays,Valence Ruteganya akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampeni ya wateja kupata asilimia 100 ya mshahara kwa kupita katika akaunti ya benki ya Baclays katika hafla ya kumkabidhi mteja aliyepitisha mshahara wake na kupata asilimia 10 iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam,kushoto Meneja wa Kanda ya Namba Moja,Kitumari Massawe kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Bidhaa –Wateja wa Rejareja,Oscar Mwamfwagasi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-d1ibrNxogEE/VlbjKm0WsOI/AAAAAAADC0o/7P0tsIBle6s/s640/IMG_5878.jpg)
Meneja wa...
10 years ago
MichuziBENKI YA DCB YAWAPA KIPAUMBELE WA WAJASIRIMALI KATIKA MAONESHO YA SABA SABA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K5h7WOlnI7I/U7uTDQdKljI/AAAAAAAFxG8/MWfMfu9YVhQ/s72-c/exim+ditf+pix+2.jpg)
BENKI YA EXIM KATIKA MAONYESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABA SABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-K5h7WOlnI7I/U7uTDQdKljI/AAAAAAAFxG8/MWfMfu9YVhQ/s1600/exim+ditf+pix+2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aOokp63g1o8/U7uTDayhwWI/AAAAAAAFxG0/aPThkmhNMDg/s1600/exim+ditf+pix+3.jpg)
11 years ago
Habarileo03 Jun
Mfanyakazi Barclays kizimbani kwa rushwa
MFANYAKAZI wa Benki ya Barclays, katika kitengo cha Mawasiliano na Huduma za Jamii, Tunu Kavishe (33) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kushawishi na kupokea rushwa.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Benki ya Barclays yatoa somo la ajira kwa wanafunzi wa UDBS
Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Barclays Tanzania, Anna Chacha (kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana kuhusu fursa mbalimbali za ajira ndani ya benki hiyo na pia nini wafanye ili kuweza kumudu ushindani katika soko la ajira ndani ya sekta za kibenki.
![02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/029.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mTkyWGpyfxw/XpmWcWY1TlI/AAAAAAALnOQ/zVzQlmjYnhY9NG_5fLIQJT6M-sHPH1eVACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.12.35%2BPM.jpeg)
Vijana saba kizimbani kwa kulawitiana
![](https://1.bp.blogspot.com/-mTkyWGpyfxw/XpmWcWY1TlI/AAAAAAALnOQ/zVzQlmjYnhY9NG_5fLIQJT6M-sHPH1eVACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.12.35%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8YQEpCOOib4/XpmWaLBna-I/AAAAAAALnOI/AWmrhwi9xwYP7YbQphB7lpWNb6nrtzO_ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.12.39%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wt3ybLeOszA/XpmWbCLXcRI/AAAAAAALnOM/DK0RihHLdlc0Wd6QuJZcYTglCruRbJL8ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B2.12.37%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
Na Karama Kenyunko globu ya jamii. VIJANA saba wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na...