TEKNOLOJIA: Simu za mkononi zinavyoweza kufahamisha mahala alipo mtumiaji
Tofauti na vifaa vya kiteknolojia kama vile kompyuta na tabiti (tablet), baadhi ya simu za kisasa zina uwezo wa kutoa taarifa za mahala mtu alipo au kilipo kitu fulani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Teknolojia ya Smart house: Nyumba zinazotumia rimoti, simu za mkononi
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Teknolojia mpya ya KYC ya kusajili na kuhakiki namba za simu za mkononi kupitia Smartphone yazinduliwa nchini
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Profesa John Nkoma akifungua mkutano na waandishi wa Habari na kuzungumzia umuhimu wa kusajili namba za simu za Mkononi na Mfumo mpya wa kusajili namba na kuhakiki kutumia Teknolojia mpya ya Kielekroniki..
Mwenyekiti wa umoja wa makampuni ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bwana Rene Meeza akitamka rasmi uzinduzi wa usajili mpya wa simu za mikononi kwa kutumia Teknolojia mpya ya kutumia smart...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA UTARATIBU MPYA WA KUSAJILI NA KUHAKIKI NAMBA ZA SIMU ZA MKONONI KWA TEKNOLOJIA MPYA YA KYC KUPITIA SMARTPHONE LEO JIJINI DAR.
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
MichuziKAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Simu za mkononi sasa kuwafikia wanavijiji
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Baki salama utumiapo simu ya mkononi- 2
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Umuhimu wa simu za mkononi na changamoto zake
KUTOKANA na kuwepo kwa vitendo vya uhalifu kupitia mitandao, wananchi wanapaswa kutoteleza masuala mbalimbali kupitia ujumbe mfupi wa maandishi (sms) kabla ya kuzungumza na mhusika,” anasema Naibu Mkurugenzi, Masuala ya...
9 years ago
Dewji Blog05 Oct
Ijue vizuri simu yako ya mkononi
Asilimia kubwa ya watumiaji wa simu za mkononi nchini na duniani kwa ujumla wanatumia simu zenye Android. Mfano mzuri wa simu hizi ni Huawei Y360 zinazouzwa kwa ushirikiano wa Tigo na Huawei. Lakini je ni wangapi kati yetu tunajua vyema kutumia simu hizi? Nimekukusanyia njia kadhaa za kukusaidia, nikitumia Huawei Y360 kama mfano.
Angalizo; Nimechagua simu hii kama mfano kwa sababu ni simu mpya, inayouzwa bei rahisi ya 160,000 pekee na hivyo naamini idadi kubwa ya Watanzania watakua...