BI HARUSI ALIYETOROKA ANASWA!
![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3gmj4pIoAXisFhRARYEbHz6CqZGO7EgDWJnIHcN1ezFBQ89KmzDLsf6crRq5ClXuZDVTEHnj*CDQtxpUPjsLj*/o.gif?width=650)
SHANI RAMADHANI YULE mwanamke Tatu Ally, mkazi wa Kongowe, Mbagala jijini Dar aliyefunga ndoa na kutoroka kwa mumewe aliyetajwa kwa jina moja la Ramadhan, mkazi wa Mbezi-Kimara, amenaswa baada ya msako mkali uliofanywa na polisi kwa kushirikiana na ndugu zake. Tatu Ally aliyedaiwa kumtoroka mumewe baada ya ndoa. Stori ya Tatu kutoroka kwa mumewe siku moja baada ya kufunga ndoa iliripotiwa na gazeti hili wiki iliyopita, ukurasa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Mfungwa aliyetoroka jela anaswa kabatini
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video)
Ndugu jamaa na marafiki walijikuta wakiendelea na ratiba ya mazishi kwa mtindo wa sherehe baada ya bwana harusi kufariki… bibi harusi nae ilibidi akubaliane na ukweli kwamba ndoa yao imekatishwa na kifo cha mume mtarajiwa. Kifo cha bwana harusi John Mwangi kilitokana na ajali baada ya gari kutumbukia mtoni maeneo ya Kabarnet, Kaunti ya Baringo Kenya… […]
The post Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video) appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Bwana harusi afukuzwa kutoka kwa harusi yake.
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Bwana harusi aanguka kifafa kabla ya harusi
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Bi harusi apewa talaka siku ya harusi
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Bibi harusi amkimbia bwana harusi
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Doroth Msuya, mkazi wa Monduli mkoani Arusha, ametoweka muda mfupi kabla ya kufunga ndoa na Joseph Machange, mkazi wa Mwika, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Ndoa ya wawili hao ilitarajiwa kufungwa Jumamosi ya Novemba 7 katika Kanisa la Kinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Usharika wa Lole, Mwika.
Mchungaji mwenza wa usharika huo, Elikeseni Shao, alisema majira ya saa sita na nusu mchana wakati maandalizi...
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Mfungwa aliyetoroka New York akamatwa
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Serikali kumwajibisha mkandarasi aliyetoroka
WIZARA ya Maji imetakiwa kumchukulia hatua za kinidhamu mkandarasi wa mradi wa maji wilayani Meatu aliyetoroka kazini. Ushauri huo ulitolewa bungeni jana na Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s72-c/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)
BWANA HARUSI AANGUKA KIFAFA KABLA YA HARUSI, ALIMFICHA MKEWE MTARAJIWA KAMA ANAANGUKA, MKE AAMUA KUOLEWA NA MWINGINE PAPO KWA PAPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s640/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)